B BONANJE Member Jul 13, 2012 34 3 Sep 13, 2012 #1 Maana CAS haingiliki tokea Saa nne mpaka saa hizi,cju kuna nini Msaada tafadhari ,maana jina langu halipo chuoni.
Maana CAS haingiliki tokea Saa nne mpaka saa hizi,cju kuna nini Msaada tafadhari ,maana jina langu halipo chuoni.
L Long time no see Member Sep 1, 2012 13 0 Sep 13, 2012 #4 Mkuu inawezaikawa haifunguki kweli sababu najaribu kufungua kwakutumia simu na inagoma
D Dickson Alex Member Jun 1, 2012 37 4 Sep 13, 2012 #5 wanaanika matangazo yao nini!,maana ndo kawaida yao utasikia wana extend muda wa watu wengine tena wa application.
wanaanika matangazo yao nini!,maana ndo kawaida yao utasikia wana extend muda wa watu wengine tena wa application.