Hakuna jina hata moja lililoonekana kwenye list ya waliopata mkopo.hivi hawa jamaa mbona wana wanyanyapaa sana equivalent student?Au hawa waliotajwa majina yao wao walilipa zaidi ktk application?Tutaishtaki serikali kwa kutunyanyapaa.Mimi binafsi nashangaa sana kwa nini.Nisaidieni kwa anayefahamu zaidi.