Msabaha lk
Member
- Apr 21, 2012
- 84
- 21
Waungwana nami niungane nanyi kwa hili. HESLB wametoa allocation na tuliokosa tumekosa. Ajabu kimya! hivi mkwanja wetu umeende hivihivi? hatustahili hata kupewa taarifa kwa nini tumekosa? wametugawa! waliopata sherehekeni.