Wakuu habari ya Leo habari Za mwaka 2026 nimerudi baada ya kupotea jf kwa miezi mitano (5)
Sasa wakuu mada ni kwamba kijana yuko njia panda ana mpenzi wapenzi wawili mmoja ni
A. Ana miaka 28
-ana mtoto mmoja
-elimu ana diploma
-fundi cherehani
-mtoto wa miaka miwili
-binti anaishi kwao toka...
Nilipokuwa na miaka 20's ya mwanzoni nilikua naona mtu mwenye 30-40 kamili ni wakubwa sana hadi nilipo anza kuu karibia umri huo,🤣naona kama ni watoto tu, labda kuanzia 50 kamili 46 kuendelea Asee ni jua la jioni
Habarini za siku nyingi, wakuu
1.Leo, ninaomba mnipe mawazo yenu, hivi nikienda kusomea ukalimani wa lugha ya kichina uhakika wa kupata kazi je upo?
2.chuo kipi kwa hapo daslam wanachofundisha kichina vizuri
3. Bei ni shingapi?
4.kwa muda gani angalau mtu anaweza kuwa competent kwenye kichina
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.