Kabla ya kuandika ulitakiwa ku google kwanza, hii ni kukurupuka,ingia google andika peasant food (vyakula vya kimasikini) utagundua kuwa sausages, na pasta zipo katika listi ambapo kwako wewe uliyeposti unaweza kuwaunapoviona supermarkets unachanganyikiwa, kwa ufupi nikuwa mahindi yanalimwa...
Aisee unamfahamu vizuri alex, mimi nilishare naye locker moja bweni la hanang23 pale old moshi 2001 akiwa A-level PCB kulikuwa na novels nyingi ninayoikumbuka ni Burden of Proofs iliyoandikwa na Scott Turrow, alikuwa na perfumes za gharama , nguo zake na viatu pia vilikuwa expensive sana...
Hawafugiki kutokana kuwa wanazaliana kwa wingi na kwa haraka na wanahitaji eneo kubwa sana, maji yawe masafi yenye hewa ngingi ndio maana utawaona baharini au ziwani tena wanapendelea kukaa mbali siyo pembeni
Katika pitapita zangu nimegundua kuwa wanawake wanaotokea kuwa na ndevu huwa hawazinyoi kabisa hata zikirefuka vipi, tofauti na sisi wanaume ambao wengi wetu hatutaki kuziona zikitokea tu zimenyolewa, ndio nauliza ni kwanini? Au mnatuonea wivu?
Sababu inayofanya watu wengi wasianike chupi ktk kamba nje au hadharani tofauti na nguo nyingine ni madoa sugu "skid marks" hasa kwa chupi nyeupe, solution yake ni nini? Fungukeni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.