Recent content by bogoshi

  1. bogoshi

    Ni aibu Prof. Sifuni Mchome kufanya kazi na Dr. Ndalichako Joyce!

    Utendaji mzuri wa mtu yeyote waga haujumiwi na mtu yeyote
  2. bogoshi

    Ukosefu wa maji katika kata za Mhandu, Mahina, Igoma na Busweru Jiji la Mwanza

    Waziri mwenye dhamana tusaidie maana mpaka sasa tatizo limedumu kwa siku tano wakati Mwauwasa wakiwa wamekaa kimya.
  3. bogoshi

    TAMISEMI kuhamishiwa ofisi ya Rais: Magufuli hamwamini Majaliwa?

    Umeganda mawazo, serikali hii ni moja hizo ni wizara tu
  4. bogoshi

    Tibaigana: Huyu ndiye Rais niliyemtaka

    Hongera sana Tibaigana
  5. bogoshi

    Uchambuzi huru: Jakaya Kikwete anafuata nyayo za Rais Vladimir Putin?

    Sio kweli, huo ni uwezo wako mdogo kufikili
  6. bogoshi

    Magufuli atashindwa kama Nyerere

    Hacha mawazo mgando, sheria zipo wazi
  7. bogoshi

    Mpaka mwaka 2017 watanzania 99.59% watakuwa CCM

    Ndo hivyo mkuu
  8. bogoshi

    Magufuli, Pesa hizi zinatoka wapi?

    Kwani nyie mnauliza nini? Muda wa siasa umeisha muacheni aongoze nchi, nyinyi mmefeli tulieni.
  9. bogoshi

    Wabunge wa UKAWA wameshasaini Bungeni!

    Wewe ndiyo maana umekosa jimbo, kazi yako majungu tu. Hujui hapa kazi tu.
  10. bogoshi

    Ziko wapi Media Ethics kwa ITV/IPP Media?

    Acha mambo ya ajabu, unataka waripoti nini?
  11. bogoshi

    Lowassa asababisha timua timua ITV

    Kama wameshindwa kulinda maadili yao ya kazi wafukuzwe
Back
Top Bottom