Kumbe WWE Una akiri Sana. Mimi nilishafikiria pale papigwe ntarchange ni raisi, Mtu kutoka Morocco accaconet pale machinga, au kutoka machinga acaconect calendar bridge au Morocco kariakoo mpaka kurasini.
Hivi Kwanini uwa mnadiscuss issues za Tanzania na Kenya. Kenya ishajifia. Expressway wanazolingia ndio Mchina anaanza kuwekeza Dar. Wana kitu gani tena, Tanzania Mafuta na gesi hayo Yanakuja uku EACOP inaendelea vizuri. Tunajenga refinery kubwa ili yote ya Tanzania na Uganda tuyarefine hapa...
Nchi zote zilizotawaliwa na muingereza zinarudi nyuma Kwa kudanganywa kuwa Wana maendeleo Kwa kuongea kingereza na kuwapa data za kuwafariji kuwa wako juu. Kenya, South Africa, Zimbabwe, Malawi wanaoorokoma Kila kuchao.
Kafanye cost benefit analysis Kati ya Barabara na reli. Kwanza lifespan ya Barabara unajua ni miaka mingapi na reli ñi miaka mingapi? Barabara kusafirisha tani Mia Kwa roli Kwa kilometers 2000 unajua inakugalimu dollar kiasi gani Kwa kununua Mafuta ukiringanisha na reli. Tena reli ya umeme...
Kaka ili upunguze ghalama za usafirishaji reli haikwepeki tuna ushindani mkubwa na corridor zinazotuzunguka Hamna njia nyingine ni lazima kuwekeza kwenye reli.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.