Habari zenu wandugu,nautafuta sana wimbo wa stanboi sweetgirl,
na mwingine sikumbuki unaitwaje ila chorus yake inaimba "maumivu ya mapenzi ni bora mtu akuungeze na moto,"zipo mbili ila nahitaji ile OG,
Natakunguliza shukran za dhati
Poor you,ujinga ni kujiona mjanja mbele ya hao unaodhania ni wajinga kwa kuonyesha hisia zao kuhusu wazo ambalo hata wewe si ajabu hujalijua vizuri.
I'm not sorry[emoji57]
Kwani gwajima ni nani?kama ile haki ya uhuru wa kuongea bado inapumua,mimi ninadhani kila mwenye masikio asikie,
"Akili za mbayuwayu,chakanganya na zako"
by dkt jmk
Elimu, elimu, elimu
Kwa kifupi elimu yetu tulionayo sio rafiki wa enzi hizi za science & technology. Bado tupo kwenye matumizi ya kuni kwenye dunia inayotumia hadi nyuklia kama chanzo cha nishati.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.