Ni mambo ya ajabu kweli, mbona wanalazimisha chanjo yenyewe kuna nini??? Mm na familia yangu hamna kuchanjwa mtu
- ukipata chanjo unaweza kupata corona? Ndio
- ukipata chanjo unaweza pia kufa kwa corona? Ndio
Sasa kwa nini upate chanjo?
Una uhakika??Mbona yeye mwenyewe anawapa mapepo hapo
Wewe unaamini PhD ambayo itakuambia kachanjwe!! Mbona mnangagania chanjo mmepewa nn??? Mm namuunga mkono gwajima 100% heri yeye amesema ukweliPhD ya ujinga. Uliza vizuri, hana PhD, ni tapeli huyo. Fake pastor, feki tupu huyo. Elimu yake ni feki feki tupu
PhD ya Kolomije waliisoma na Dr BashitePhD ya ujinga. Uliza vizuri, hana PhD, ni tapeli huyo. Fake pastor, feki tupu huyo. Elimu yake ni feki feki tupu
Wewe unaamini PhD ambayo itakuambia kachanjwe!! Mbona mnangagania chanjo mmepewa nn??? Mm namuunga mkono gwajima 100% heri yeye amesema ukweli
Ana phd yAskofu Gwajima, tuwaache wataalam wetu wa maswala ya Afya wanapoendelea kutoa Maelekezo mbali mbalimbali juu ya kujikinga na janga hili la Corona likiwepo swala la Chanjo.
Ndio maana hata Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan kila anapotamka swala la ugonjwa huu wa Corona anasisitiza tusikilize Maelekezo ya wataalam wetu wa afya maana sio swala la kila mtu kuongea na kutoa Maelekezo kumbuka Rais anauwezo wa kutoa Maelekezo yoyote lakini katika hili swala anawasikiliza wataalamu wa afya.
Sasa wewe Askofu kuyaongea masuala usiokuwa na utaalamu wake sio kitu kizuri pia kumbuka una watu wanaokuamini ukitoa tamko hata kama ni la ovyo hivyo basi tufungwe vinywa vyetu kwa masuala tusiokuwa na utaalam nayo.
View attachment 1869710
Ana PHD ya nini? atuwekee thesis yake tuone kama ana credibility ya kuoiongolea vaccineAskofu Gwajima, tuwaache wataalam wetu wa maswala ya Afya wanapoendelea kutoa Maelekezo mbali mbalimbali juu ya kujikinga na janga hili la Corona likiwepo swala la Chanjo.
Ndio maana hata Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan kila anapotamka swala la ugonjwa huu wa Corona anasisitiza tusikilize Maelekezo ya wataalam wetu wa afya maana sio swala la kila mtu kuongea na kutoa Maelekezo kumbuka Rais anauwezo wa kutoa Maelekezo yoyote lakini katika hili swala anawasikiliza wataalamu wa afya.
Sasa wewe Askofu kuyaongea masuala usiokuwa na utaalamu wake sio kitu kizuri pia kumbuka una watu wanaokuamini ukitoa tamko hata kama ni la ovyo hivyo basi tufungwe vinywa vyetu kwa masuala tusiokuwa na utaalam nayo.
View attachment 1869710
Wewe kama unaamini chanjo ndo inakulinda kachanjwe, hata usipokufa na corona utakufa kwa ajali tu!! Au magonjwa mengine!! Mm namwamini Mungu siitaji chanjo yenu hiyo feki!!Swine, wasukuma kama ww you are known for your arrogance and illiteracy in society, ndio maana PhD nyingi za kisukuma ni feki feki tu, sbb ur arrogance is known naturally, hamna uwezo wa akili kabisa.
Nasubiri majibuHao Watalaamu 100 ni aina ya Tapeli Gwajima, au?! Tuwekee hapa Watalaamu 20 TU, hao 80 baki nao wenyewe!!!
Mkuu Criterion,Nasubiri majibu