Recent content by Bodega

  1. Bodega

    JamiiForums Tanzania Kila nikipata mpenzi au mchumba mpya kama hana kazi ndani ya wiki mbili tu anapata kazi nzuri

    Na wewe mwenyewe je ! Una grow au una fall ?
  2. Bodega

    JamiiForums Tanzania Manka Chuga aliye kuwa akinywa Pombe kama maji aomba msaada

    Je wewe mkuu ni mkamilifu na mtimilifu 100% ? Huna kosa lolote unalohitaji huruma ya Mungu ? Kwa mfano Mungu akikuacha bila kukupa hata tone la msaada utatoboa hata dk 5 ? Usihukumu !! Acha asaidiwe, lakini wewe usitoe.
  3. Bodega

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Ndani ya masaa 48 Dr. Nchimbi Kung'atuka umakamu wa Rais kwa kujiuzulu

    Umetisha mkuu, tupe next move 🙌
  4. Bodega

    JamiiForums Tanzania Jambo zito kisiasa lakaribia litatikisa, ni ama ajiamulie mwenyewe au wenyewe waamue

    Mkuu nimekuamini 🙌🙌
  5. Bodega

    JamiiForums Tanzania Weka picha ya Unyayo wako

    Kuna nini loose nut, leo umelegeza nati zaidi ?
  6. Bodega

    JamiiForums Tanzania Je ni sahihi kumuacha huyu mwanaume, au ni mvumilie huku naumia ?

    Hili jambo sio jepesi, ni gumu sana, nakushauri tu ujinyonge, sioni mlango mwingine.
  7. Bodega

    JamiiForums Tanzania Hivi nyuzi za maana humu jeiefu ni ZIPI?

    Mzee una code sana 😂😂
  8. Bodega

    JamiiForums Tanzania Hivi nyuzi za maana humu jeiefu ni ZIPI?

    😂😂😂
  9. Bodega

    JamiiForums Tanzania Nipo njia panda kuhusiana na mambo ya house party

    Kaka jambo jepesi kama hili unakuja hapa kuliombea ushauri 🙆‍♂️, kweli wanaume tuko kwenye anguko kuu. Anyway, usiruhusu huo upuuzi. Good luck.
  10. Bodega

    JamiiForums Tanzania Ni dawa gani Nzuri ya kinywa na meno kwa kutumia hapa Tanzania?

    Inapatikana wapi ? Kwa Dar
  11. Bodega

    JamiiForums Tanzania Ni dawa gani Nzuri ya kinywa na meno kwa kutumia hapa Tanzania?

    Bei gani hii mkuu, ni bora sana ?
  12. Bodega

    JamiiForums Tanzania Ukifika miaka 40 hakikisha una eneo la wazi la ekari zisizopungua 5

    Ukifika miaka 40 hakikisha una afya njema, Amani na unaendelea vyema na shughuli zako, taratibu bila shinikizo lolote, nasisitiza, BILA SHINIKIZO LOLOTE. Period.
  13. Bodega

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Tunauza subwoofers, soundbars, home theater, speakers kwa bei nafuu

    Na connection yake zote ni wires au kuna bluetooth, I mean hizo speaker 5
Back
Top Bottom