Je wewe mkuu ni mkamilifu na mtimilifu 100% ? Huna kosa lolote unalohitaji huruma ya Mungu ? Kwa mfano Mungu akikuacha bila kukupa hata tone la msaada utatoboa hata dk 5 ? Usihukumu !! Acha asaidiwe, lakini wewe usitoe.
Ukifika miaka 40 hakikisha una afya njema, Amani na unaendelea vyema na shughuli zako, taratibu bila shinikizo lolote, nasisitiza, BILA SHINIKIZO LOLOTE. Period.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.