Recent content by Bodega

  1. Bodega

    Hapa naweza kufahamu namba ya simu?

    Huwezi, hizo ni serial no. za line, na zina maana, hio 89 inamaanisha hio ni telecom sim card, line zote lazma zianze na 89, hio 255 ni country code Tanzania, inafuata code ya mtandao kama airtel voda tigo, inafuata unique code kwa kila line
  2. Bodega

    Kumbukizi: Hili ndio toleo la kwanza la bia ya Serengeti

    Naona joined Aug 2012, ww ni mkongwe 😅, umenizidi kwa mwaka (Aug 2013).
  3. Bodega

    Kumbukizi: Hili ndio toleo la kwanza la bia ya Serengeti

    Mkuu ni miaka zaidi ya 30 sasa, unaweza kukumbuka tukio kwa usahihi ila usikumbuke ilikua mwaka gani, siku zimeenda sana, mm pia nakumbuka baadhi ya matukio maishani ila sikumbuki tena mwaka, nakadiria tu 😅
  4. Bodega

    Kumbukizi: Hili ndio toleo la kwanza la bia ya Serengeti

    Duh ! Sawa mkuu, uko deep 🙌
  5. Bodega

    Kumbukizi: Hili ndio toleo la kwanza la bia ya Serengeti

    Sawa mkuu, hio inawezekana, tuko pamoja.
  6. Bodega

    Kumbukizi: Hili ndio toleo la kwanza la bia ya Serengeti

    Lakini mkuu chupa wameandika imeanzishwa 1996, au umechanganya kidogo mwaka ?
  7. Bodega

    Dawa za nguvu za kiume kutoka "sanitarium clinicks", ni tiba ya kweli?

    Ziache, nenda sokoni, nunua mdalasini wa unga, vitunguu swaumu vya unga, tangawizi ya unga, uwatu wa unga, manjano, black seed oil na asali, changanya vyote pamoja upate mchanganyiko mzito, kula kijiko kimoja kila siku asubuhi, na usile kitu mpaka mchana, fanya hivyo kwa siku 14 tu mfululizo...
  8. Bodega

    Maisha ya UPWEKE yamenichosha - Nahitaji Mke

    Kaka una vigezo vya shape ? Kuna ambaye namfahamu wa 1993 mchaga hana mtoto yuko serious sana anatafuta mtu, elimu ana diploma nadhani, yuko dar, kama uko dar nitakuunganisha nae labda mtaelewana
  9. Bodega

    Maisha ya UPWEKE yamenichosha - Nahitaji Mke

    😂😂😂
  10. Bodega

    Sababu ni Nini simu za Tecno kunangwa

    Kaka una uelewa kdg wa mambo ya electronics ? Mfano teknolojia zinazotumika, raw materials na finishing ? Kwamba unaona Samsung na Tecno ni sawa tu hakuna tofauti ? Unadhani bei za Samsung kuwa juu ni utapeli tu wanatuibia ? Hebu waza kwenye areas nyingine kidogo, mfano nguo, viatu, magari nk...
  11. Bodega

    Ukiwa unafanya maamuzi kwa hisia katika kila jambo maisha yako yatakuwa magumu sana

    Hongera sana Mkuu kwa ujumbe mzuri mno, Hakika ujumbe huu una sifa ya kufungia mwaka, ili tunapoanza 2026 tuongozwe na Akili kwanza Hisia baadae, hasa sisi wanaume, hili ni muhimu sana. Happy new new, usiache kutupa madini 😅
  12. Bodega

    Hii ni kwa wanaume tu

    🙏🏼🙏🏼🙏🏼💪💪💪
  13. Bodega

    Mwenye uelewa,ujuzi au ufahamu na hili anisaidie

    Pole sana mkuu, Hapo Mbezi ya Kimara naskia kuna wakorea wako vizuri sana kwenye viungo vinavyouma bila kujua chanzo hasa ni nini, wanachoma sindano za dawa za miti ya kwao huko, umewahi kuwaskia ?
  14. Bodega

    Wakuu Mimi ni winga wa electronics, naombeni sana mniunge mkono

    Shukrani kaka, kweli tutafute hela 😅
  15. Bodega

    Wakuu Mimi ni winga wa electronics, naombeni sana mniunge mkono

    Hongera sana, utapata wateja na kejeli kidogo usijali, hebu nishauri, nataka sound system kutoka samsung, ipo tofauti ya soundbar/home theatre ? Ipi nzuri kwa samsung ? Bei je
Back
Top Bottom