Ziache, nenda sokoni, nunua mdalasini wa unga, vitunguu swaumu vya unga, tangawizi ya unga, uwatu wa unga, manjano, black seed oil na asali, changanya vyote pamoja upate mchanganyiko mzito, kula kijiko kimoja kila siku asubuhi, na usile kitu mpaka mchana, fanya hivyo kwa siku 14 tu mfululizo...