Recent content by Bodega

  1. Bodega

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Je ni sahihi kumuacha huyu mwanaume, au ni mvumilie huku naumia ?

    Hili jambo sio jepesi, ni gumu sana, nakushauri tu ujinyonge, sioni mlango mwingine.
  2. Bodega

    JamiiForums Tanzania Hivi nyuzi za maana humu jeiefu ni ZIPI?

    Mzee una code sana 😂😂
  3. Bodega

    JamiiForums Tanzania Hivi nyuzi za maana humu jeiefu ni ZIPI?

    😂😂😂
  4. Bodega

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nipo njia panda kuhusiana na mambo ya house party

    Kaka jambo jepesi kama hili unakuja hapa kuliombea ushauri 🙆‍♂️, kweli wanaume tuko kwenye anguko kuu. Anyway, usiruhusu huo upuuzi. Good luck.
  5. Bodega

    JamiiForums Tanzania Ni dawa gani Nzuri ya kinywa na meno kwa kutumia hapa Tanzania?

    Inapatikana wapi ? Kwa Dar
  6. Bodega

    JamiiForums Tanzania Ni dawa gani Nzuri ya kinywa na meno kwa kutumia hapa Tanzania?

    Bei gani hii mkuu, ni bora sana ?
  7. Bodega

    JamiiForums Tanzania Ukifika miaka 40 hakikisha una eneo la wazi la ekari zisizopungua 5

    Ukifika miaka 40 hakikisha una afya njema, Amani na unaendelea vyema na shughuli zako, taratibu bila shinikizo lolote, nasisitiza, BILA SHINIKIZO LOLOTE. Period.
  8. Bodega

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Tunauza subwoofers, soundbars, home theater, speakers kwa bei nafuu

    Na connection yake zote ni wires au kuna bluetooth, I mean hizo speaker 5
  9. Bodega

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Tunauza subwoofers, soundbars, home theater, speakers kwa bei nafuu

    Naomba experience yako kwenye hii LG
  10. Bodega

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Tunauza subwoofers, soundbars, home theater, speakers kwa bei nafuu

    Unazungumziaje mziki wa LG home theatre 1000W naona bei imesimama !!
  11. Bodega

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Leo nimejichanganya kwa malaya Kahama

    Safari hii utakua na makuu.
  12. Bodega

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Arsenal bingwa, nipeni chimbo la jezi OG Dar

    Sema chimbo lilipo mzee be positive, au uko Kigoma 😂
  13. Bodega

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Arsenal bingwa, nipeni chimbo la jezi OG Dar

    Arsenal simba na Madrid. Period. Vp bei pale mkuu haitakua 80k per piece 😂
  14. Bodega

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Arsenal bingwa, nipeni chimbo la jezi OG Dar

    Arsenal Bingwa. Salam wakuu, Hatimaye baada ya miaka 22, Tumeona tena jua, nani ajuaye, huenda tukaleta Emirates UEFA trophy hapo Jmos. Sasa niambieni wapi panauzwa jezi OG za team za mbele kwa hapa Mjini Daslam. NIKANUNUE YA ARSENAL. Nawatakia siku njema. ARSENAL BINGWA. Tukutane Jmos...
  15. Bodega

    JamiiForums Tanzania Dawa ya Kuvuta Wateja kwenye Biashara Mpya

    Hilo ni sawa kabisa, nalo maintain, siku isibadilike badilike, wata comply ! Si unaona huko mijini tunakaa nje ya maduka ya wahindi tukisubiri wamalize ibada between 1 & 2 pm ? Hatujawahi kuwakimbia ! Tunajua tunachokitaka kipo ndani.
Back
Top Bottom