Recent content by Bodega

  1. Bodega

    JamiiForums Tanzania Dawa ya Kuvuta Wateja kwenye Biashara Mpya

    Hilo ni sawa kabisa, nalo maintain, siku isibadilike badilike, wata comply ! Si unaona huko mijini tunakaa nje ya maduka ya wahindi tukisubiri wamalize ibada between 1 & 2 pm ? Hatujawahi kuwakimbia ! Tunajua tunachokitaka kipo ndani.
  2. Bodega

    JamiiForums Tanzania Dawa ya Kuvuta Wateja kwenye Biashara Mpya

    Hongera sana, Hakuna dawa, dawa zote umezifanya tayari, ubora wa huduma, nidhamu na Mungu wa Mbinguni. Next, jipe muda, biashara zinapitia vipindi kama ukuaji wa mtoto, just jipe muda na MAINTAIN.
  3. Bodega

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nafikiria kuachana na mke wangu baada ya kunifumania

    Kisasi atalipa na haitakua kitoto, ila haitakuumiza, tulia kwanza, usimuache, ila kaa stand by
  4. Bodega

    JamiiForums Tanzania Ulitumia dawa gani kupona fangasi za kwenye korodani?

    Sisi wa Minaki below 2010 tunaelewa, hapo unahitaji dawa za kumeza na ile ya kupaka, nenda hosp nzuri, tumia hela kuweka afya yako sawa, huna kitu cha thamani cha kulinda zaidi ya mwili wako.
  5. Bodega

    JamiiForums Tanzania Hapa naweza kufahamu namba ya simu?

    Huwezi, hizo ni serial no. za line, na zina maana, hio 89 inamaanisha hio ni telecom sim card, line zote lazma zianze na 89, hio 255 ni country code Tanzania, inafuata code ya mtandao kama airtel voda tigo, inafuata unique code kwa kila line
  6. Bodega

    JamiiForums Tanzania Kumbukizi: Hili ndio toleo la kwanza la bia ya Serengeti

    Naona joined Aug 2012, ww ni mkongwe 😅, umenizidi kwa mwaka (Aug 2013).
  7. Bodega

    JamiiForums Tanzania Kumbukizi: Hili ndio toleo la kwanza la bia ya Serengeti

    Mkuu ni miaka zaidi ya 30 sasa, unaweza kukumbuka tukio kwa usahihi ila usikumbuke ilikua mwaka gani, siku zimeenda sana, mm pia nakumbuka baadhi ya matukio maishani ila sikumbuki tena mwaka, nakadiria tu 😅
  8. Bodega

    JamiiForums Tanzania Kumbukizi: Hili ndio toleo la kwanza la bia ya Serengeti

    Duh ! Sawa mkuu, uko deep 🙌
  9. Bodega

    JamiiForums Tanzania Kumbukizi: Hili ndio toleo la kwanza la bia ya Serengeti

    Sawa mkuu, hio inawezekana, tuko pamoja.
  10. Bodega

    JamiiForums Tanzania Kumbukizi: Hili ndio toleo la kwanza la bia ya Serengeti

    Lakini mkuu chupa wameandika imeanzishwa 1996, au umechanganya kidogo mwaka ?
  11. Bodega

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Dawa za nguvu za kiume kutoka "sanitarium clinicks", ni tiba ya kweli?

    Ziache, nenda sokoni, nunua mdalasini wa unga, vitunguu swaumu vya unga, tangawizi ya unga, uwatu wa unga, manjano, black seed oil na asali, changanya vyote pamoja upate mchanganyiko mzito, kula kijiko kimoja kila siku asubuhi, na usile kitu mpaka mchana, fanya hivyo kwa siku 14 tu mfululizo...
  12. Bodega

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Maisha ya UPWEKE yamenichosha - Nahitaji Mke

    Kaka una vigezo vya shape ? Kuna ambaye namfahamu wa 1993 mchaga hana mtoto yuko serious sana anatafuta mtu, elimu ana diploma nadhani, yuko dar, kama uko dar nitakuunganisha nae labda mtaelewana
  13. Bodega

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Maisha ya UPWEKE yamenichosha - Nahitaji Mke

    😂😂😂
  14. Bodega

    JamiiForums Tanzania Sababu ni Nini simu za Tecno kunangwa

    Kaka una uelewa kdg wa mambo ya electronics ? Mfano teknolojia zinazotumika, raw materials na finishing ? Kwamba unaona Samsung na Tecno ni sawa tu hakuna tofauti ? Unadhani bei za Samsung kuwa juu ni utapeli tu wanatuibia ? Hebu waza kwenye areas nyingine kidogo, mfano nguo, viatu, magari nk...
  15. Bodega

    JamiiForums Tanzania Ukiwa unafanya maamuzi kwa hisia katika kila jambo maisha yako yatakuwa magumu sana

    Hongera sana Mkuu kwa ujumbe mzuri mno, Hakika ujumbe huu una sifa ya kufungia mwaka, ili tunapoanza 2026 tuongozwe na Akili kwanza Hisia baadae, hasa sisi wanaume, hili ni muhimu sana. Happy new new, usiache kutupa madini 😅
Back
Top Bottom