Recent content by bobwilfredy

  1. bobwilfredy

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Dunia imejaa watu waongo

    Umejuaje unatenda mema mkuu?
  2. bobwilfredy

    JamiiForums Tanzania Hadi sasa CDF anaongoza 1-0

    Wahuni ni watekaji au wanaopinga itekaji nani muhuni apo kichwa maji kabisa
  3. bobwilfredy

    JamiiForums Tanzania Mpaka sasa saa 4 asubuhi Serikali 3 : Wafuasi wa Mange 0. Hii ndiyo Tanzania isiyoyumbishwa na mtu yeyote

    Hakuna cha kufurahisha apa. Watanzania walio wengi wanafukuta kwa chuki za ndani kwa ndani. Watawala msifurahie hii hata kidogo mkajiona mmeshinda, Malalamiko yote ya wananchi mnayajua. Yafanyieni kazi. Polisi polisi polisiii shauri yenuuu.
  4. bobwilfredy

    JamiiForums Tanzania Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

    Vijana wanaonesha mwatumani. Ngoja ligi ianze tuone yaliyomo yamo??
  5. bobwilfredy

    JamiiForums Tanzania Kuanza leo usiku mpaka Nov ndio tutajua kama nchi hii nayo ina Deep State au namna gani?

    Kwann Ccm hawataki kufanya siasa za ushindani? Hoja zijibiwe kwa hoja na si vinginevyo
  6. bobwilfredy

    JamiiForums Tanzania Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

    Daah nne nyingi zinauma xanaa.
  7. bobwilfredy

    JamiiForums Tanzania Je, utamkumbuka Hayati Magufuli kwa mambo gani?

    Magufuli namkumbuka kwa uchapakazi wake mahiri, katika kusimamia walio chini ya uongozi wake. Pia Raisi Magufuli alikuwa muwazi na mkweli kwa kile alichokiamini haswa katika maswala ya ndani na nje ya nchi.
Back
Top Bottom