Issue ya Coco inaweza kuwa kubwa kuliko tujuavyo mimi na wewe. Huwezi kujua ni kwa nini ananyimwa kupamiliki. Hajaanza kuruka napo jana wala juzi. Ni miaka mingi ameruka napo chini chini sema J.K alikuwa ni mpole hawezi kumchana ukweli kwamba hawezi kupamiliki.
Tusikurupukie hili suala la rushwa japo laweza kuwa na siasa mingi lakini kuwa watu wanaitwa lobbyists ni watu wa hatari sana. Mfano mdogo tu ni Zitto Kabwe (anayeweza kukusanya kura za kumng'oa waziri mkuu) japo yeye bado sio expert kama watu ambao wameSpecialize kwenye hiyo field. Kwa wenzetu...
Kwa uzoefu wangu nyanya zina soko zuri mwezi wa kumi na mbili mpaka mwezi wa saba ambapo huwa zinaporomoka bei vibaya mpaka wanaishia kulishwa ng'ombe kama tunavyoonyeshwa kwenye mitandao.
Hivyo basi miezi mizuri ya kuandaa kitalu ni mwezi wa saba mpaka wa pili mwishoni. japo miezi ya kwanza...
Inategemea na timing ya soko sio kulima tu msimu wowote. Kitunguu kinaweza kutoka mpaka gunia 200 kwa mbegu ya hybrid sema vitunguu vyake ni vikubwa sana.
Hiyo ni sanaa ambayo inahitaji upeo wa juu sana kuielewa. Sio lazima muwe mnaongelea gegedu ndipo ang'oe majani. Mnaweza kuwa mnaongelea urefu wa barabara ya Bunju mpaka Kariakoo lakini akang'oa majani. Hapo kinachoongea ni body language kati ya yeye na wewe na si maneno. Tatizo letu wanaume...
Hatutaki kusikiliza mashtaka ya upande mmoja na kuhukumu. Mlete kwanza kwenye baraza aje kutoa maelezo. Wadada huwa mnakuwa wataalamu wa kutengeneza mazingira mapema ya kuonewa huruma hasa mnapokuwa mmefanya makosa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.