Yaliyojiri bungeni - April 04, 2017: Mama Salma Kikwete aapa kuwa Mbunge, Kikwete ashangiliwa...

Kwani ulitegema wabunge WAGUNE?
Kikwete Si amekuja kushuhudia HESHIMA aliyopewa na Rais Magufuli ya mke wake kuteuliwa bunge na kuapishwa?
Wabunge walimpa heshima kama rais Mstaafu ambaye alikuwa amekaa kwenye galley ya wageni na si kama rais.
Hivyo sioni Jambo kuubwa sana kando ya HESHIMA ya kiongozi aliye pass the button kwa kiongozi mwingine.
Zile shamra shamra zilificha ujumbe kama ule unaoandikwa kwenye kanga za kinamama. Mkwere aliutambua ujumbe ule na yeye kwa sababu mtoto wa mjini akacheka sana.
 
Hao wabunge wa CCM walioonyesha imani na kummisi Kikwete wajiandae kupotezwa, kama si wote basi karibia nusu yao. Nadhani hawamjui Sizonje. Kama alichukia ile tu ya watu kuimba wanaimani na mtu fulani sebuse leo wanapiga makofi kabisa na kusema wamemmis mtu mwingine zaidi ya Yeye. Mwafaaaaaa!
 
kosa moja tu jakaya alifanya nikumsaliti ngoyai baas. Hilo tu na hatutamsamehe had akamuombe msamaha rais wetu wa wote lowasa.

Nyie ndo Mlikuwa wa kwanza kumuweka Lowasaa kwny Orodha ya Mafisadi kabla ya Jk kusikia kilio chenu na kuamua kumpotezea Lowassa, ukiwa Mnafiki usiwe msahaulifu
 
Hapa nanyi mmezidisha chumvi. Sasa hili la Rwanda limetoka wapi?. Yaani umejitungia uongo na kuamini kuwa ametokea Rwanda?. Hivi kweli kuna watu humu watakuamini?. Mbona ni uongo tena ni uongo mweupe sana.

Ana roho ya kinyarwanda kwani ni Siri ?
 
Hao wabunge wa CCM walioonyesha imani na kummisi Kikwete wajiandae kupotezwa, kama si wote basi karibia nusu yao. Nadhani hawamjui Sizonje. Kama alichukia ile tu ya watu kuimba wanaimani na mtu fulani sebuse leo wanapiga makofi kabisa na kusema wamemmis mtu mwingine zaidi ya Yeye. Mwafaaaaaa!
Hawezi kuwapoteza hadi waziri mkuu alikuwa anarukaruka kimoyomoyo
 
Leo watanzania wameshuhudia jinsi wanasiasa wake wakiwapo wale wa upinzani walivyo mshangilia rais mstaafu wa awamu ya nne jakaya mrisho kikwete bungeni na kusema wanammiss. sishangai kwa wale wabunge wa ccm lakini waliungana kwa makofi ya muda mrefu na wale wa upinzani. alipokua madarakani wapinzani wakiwa wanapinga tu kila kitu kama vipofu walimuita kila jina jk. walisema ni mpole walisema
ni mwoga walisema kazi yake kuchekacheka walisema anasafiri nje hadi kumkatia jina la vasco da gama. walisema anawalinda mafisadi etc etc.
kikwete alipokua anatoka madarakani akasema 'mlisema mimi mpole nakuleteeni tingatinga chuma hiki na tayari kimeanza kutema cheche' mtu mkali mtu asiyechekacheka mtu asiye na simile na ufisadi mtu asiyesafirisafiri nje. wananchi tumeona kilio cha wanasiasa wetu. sio wa upinzani tu hadi wa chama tawala. wanalia eti mtu mkali hadi baadhi ya wapinzani wanazua uongo na propaganda chafu dhidi yake. wengine wanasema eti ni kichaa.
sio kama jk hakustahili heshima kubwa aliyopewa na bunge kwa siku hii ya leo ambayo itawekwa kwenye kumbukumbu ila nachotaka kusema kwa wabunge na wanasiasa wetu wengi ilikua ni ujumbe kwa jpm kwamba 'utatuua unakata mirija yetu kila mahali' wamekasirika hawapendi kuzuiwa kuwanyonya wananchi. fedha sasa zinaelekezwa kwenye huduma na maendeleo ya wananchi sio kuliwa na vigogo.
 
Hapa nanyi mmezidisha chumvi. Sasa hili la Rwanda limetoka wapi?. Yaani umejitungia uongo na kuamini kuwa ametokea Rwanda?. Hivi kweli kuna watu humu watakuamini?. Mbona ni uongo tena ni uongo mweupe sana.
Wazee wa Conspiracy hao
 
Leo watanzania wameshuhudia jinsi wanasiasa wake wakiwapo wale wa upinzani walivyo mshangilia rais mstaafu wa awamu ya nne jakaya mrisho kikwete bungeni na kusema wanammiss. sishangai kwa wale wabunge wa ccm lakini waliungana kwa makofi ya muda mrefu na wale wa upinzani. alipokua madarakani wapinzani wakiwa wanapinga tu kila kitu kama vipofu walimuita kila jina jk. walisema ni mpole walisema
ni mwoga walisema kazi yake kuchekacheka walisema anasafiri nje hadi kumkatia jina la vasco da gama. walisema anawalinda mafisadi etc etc.
kikwete alipokua anatoka madarakani akasema 'mlisema mimi mpole nakuleteeni tingatinga chuma hiki na tayari kimeanza kutema cheche' mtu mkali mtu asiyechekacheka mtu asiye na simile na ufisadi mtu asiyesafirisafiri nje. wananchi tumeona kilio cha wanasiasa wetu. sio wa upinzani tu hadi wa chama tawala. wanalia eti mtu mkali hadi baadhi ya wapinzani wanazua uongo na propaganda chafu dhidi yake. wengine wanasema eti ni kichaa.
sio kama jk hakustahili heshima kubwa aliyopewa na bunge kwa siku hii ya leo ambayo itawekwa kwenye kumbukumbu ila nachotaka kusema kwa wabunge na wanasiasa wetu wengi ilikua ni ujumbe kwa jpm kwamba 'utatuua unakata mirija yetu kila mahali' wamekasirika hawapendi kuzuiwa kuwanyonya wananchi. fedha sasa zinaelekezwa kwenye huduma na maendeleo ya wananchi sio kuliwa na vigogo.
umejitahidi kuandika lakini huna hoja. kushangiliwa hakuondoi udhaifu wake uliosababishia taifa hasara.

rekodi ya na takwimu za hasara alizosababisha JK, zimo katika documents mbalmbali zikiwemo za CAG.

alafu upinzani sio wabunge tu hata siye huku wananchi ni wapinzani.

wabunge wa upinzani ni asilimia ndogo tu ya wapinzani halisi, wengine ni wapinzani wasio na vyama.

pamoja na kushangiliwa na wabunge JK ameliumiza taifa kukubwa tu huo ndo ukweli
 
Back
Top Bottom