Recent content by bnax

  1. bnax

    Kutoka kwa Bollen Ngetti: Kuhusu Tundu Lissu

    *Anayechunga mdomo wake anachunga maisha yake. Anayesema bila kujali anaweka maisha yake hatarini. Methali 13:3 . Maneno mazuri ni matamu ndani ya moyo na huponya mifupa. Methali 16:24.* Sent using Jamii Forums mobile app
  2. bnax

    Niulize chochote kuhusu nchi Marekani

    Mkuu una mwaka tu mara hii unaijua marekani kiasi cha kutaka kuwaelezea watu ilivyo.acha mzahaa bhana alaf ayo unayojibu ata nikihingia wikipedia nayakuta niaje wewe. Sent using Jamii Forums mobile app
  3. bnax

    Ya MC Pilipili hayapaswi kufanywa na mwanaume rijali

    Unaweza kukuta sikupi mpka tuoane usifanye masihala kabisa. Sent using Jamii Forums mobile app
  4. bnax

    Ya MC Pilipili hayapaswi kufanywa na mwanaume rijali

    Jaman ubungo inatoa magar 500-700 yanayoenda mikoan kila siku.tusimlaum sana huyo jamaa mana maboya wanaingia na kutoka kila leo. Sent using Jamii Forums mobile app
  5. bnax

    Jasusi Honda ndani ya mpango wa Congo

    Hizo ndio lugha unazozan zitakupa umaharufu ndani.hakuna jipya unaoneķana mshamba 2. Sent using Jamii Forums mobile app
  6. bnax

    Alichonifanyia bi dada niliyekutana naye social network ulikuwa unyama

    Kwahiyo ulitaka siku ile ile tu upige mzigo sio,pole sana jombaaaaa Sent using Jamii Forums mobile app
  7. bnax

    Jasusi Honda ndani ya mpango wa Congo

    Alaf hawa wanao tukana hata kama ungesema inauzwa wala wasingenunua basi tu wameamua kuchafua mazingira.ila KUDO jitaidi utupie mzigo mwingne mana umeachia patam kweli......! Sent using Jamii Forums mobile app
  8. bnax

    Nini kitatokea endapo Dunia itaacha kujizungusha ktk mhimili wake na pia endapo itaacha kulizunguka jua?

    Ucku na mchana utaendelea mpaka itakapoanza tena kuzunguka
  9. bnax

    Tuoshe macho kidogo na haka katoto kazuri

    hilo dela ni special order nn,manake si mzigo huo.
  10. bnax

    Tuoshe macho kidogo na haka katoto kazuri

    munamwangalia kwa wasi wasi tu.
  11. bnax

    Tuoshe macho kidogo na haka katoto kazuri

    tandam hizo acha kabsa.........!
  12. bnax

    Tatizo la Kuizoea K ya wife na Suluhisho lake

    inaonekana wewe ndo unawakera wenzake ila unalijua hilo
  13. bnax

    Edward Lowassa ahojiwa Makao Makuu ya Polisi kuhusu uchochezi, aachiliwa kwa Dhamana

    Hii ndo siasa yetu bongo. Sent from my VF685 using JamiiForums mobile app
Back
Top Bottom