Almasi yupo juu, watu wengi wanamkubali, ila wachache wanmwonea wivu kwa mafanikio yake, dogo anajituma sana ndo maana kafanikiwa, piga kazi Almasi inayong'aa.
Serikali corrupt always haikusanyi kodi, inawakumbatia mafisadi na mwishowe wanakosa fedha na kuwategemea hao mafisadi kuifinance. Ndivyo ilivyo serikali ya sasa ya Jakaya Kikwete na CCM yake!!!!!?????
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.