Upeo wako mdogo wa kufikiri, yeye alipenda amtakie mema kama, "Muislam mwenzake, kwani wewe umeshindwa kumtakia mema kama Mtanzania mwenzako!
Sent using Jamii Forums mobile app
Anamaanisha merekani ndiye anayezilisha nchi zote za kiarabu,ila sijamuelewa ni kwa msaada au vipi!, pili anaamanisha ndege za marekani ndio zinazowapeleka warabu na waislam kwa ujumla kwenda hijja.Ila anashindwa kuelewa nchi za kiarabu hazitegemei Chakula kutoka marekani, na pia anashindwa...
Zambi ya mtu haiwezimbukizwa kwa MTU mwengine,hivyo zambi ya msaudia itabaki kuwa ya msaudia wala haiwezi ambukizwa kwa muislam mwengine aliyetoka mathalan afrika Kwa nia njema kwanda maka kuhiji.yeye atapata mema yake toka kwa Mungu na Msaudia atapata zambi zake respectively
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.