Ndege ya ATCL ya Julai imefika?

Ndege ya ATCL ya Julai imefika?

Yah, tuliambiwa itaongezwa ndege mpya ya 3 aina ya bombardier je ilishanunuliwa? ...nipo mbali kidogo na media please

17 PHD these are results
Hahahahhh Mkuu unataka waje wakuchukue na ndege mpya kwani upo pande ipi? JF raha sana
 
Hahahahhh Mkuu unataka waje wakuchukue na ndege mpya kwani upo pande ipi? JF raha sana
Nipo kwenye nchi wanayotengeneza hiyo ndege, so nilikuwa nataka lifti wakati inakuja tz

17 PHD these are results
 
ndege nimewapa JeiDabliuTizedi ni marufuku kuiongelea
 
Back
Top Bottom