tracy martins
JF-Expert Member
- Aug 5, 2014
- 3,535
- 1,478
Sio kweli , ingekuwa wachache hamas hasingesinda uchaguzi palesineNinavyofahamu ni kwamba, makhawaariji ambao ni wachache ndio wanaowaunga mkono hamas. Wakidanganywa na wairan.
Wanalikuza tatizo la Palestina kwakuwa wanafaidika na mgogoro huo.wamepuuza ushauri wa wanachuoni wa kiislamu ili kutatua mzozo na Israel. Leo wanawaona wasuudi ni maadui