Recent content by BLUE BALAA

  1. BLUE BALAA

    Nahitaji business partner

    Mimi ndugu yangu sikushauri kabisa kuingia partnership kwa client base na networkuliyotengeneza. Binafsi siamini mtu kuweka pesa anastahili kuwa partner kwani una anza kugawa uhuru wako na decision making kwa 50%. I am sure una assets ambazo unaweza ukazitumia kama collateral na kwa ulivyo...
  2. BLUE BALAA

    Tido Mhando wa Azam Tv nakuomba Idi Pili ukiwa na Rais Samia Live Saa 4 Asubuhi muhoji haya Maswali

    Watu ni hovyo sana sijui hawakumbuki tulipitia wapi kwa miaka sita
  3. BLUE BALAA

    Tido Mhando wa Azam Tv nakuomba Idi Pili ukiwa na Rais Samia Live Saa 4 Asubuhi muhoji haya Maswali

    Ili kumjuwa Mama ana akili ulitaka arisi ule upumbavu wote wa yule mwehu? Wewe ni mpumbavu kabisa
  4. BLUE BALAA

    Tido Mhando wa Azam Tv nakuomba Idi Pili ukiwa na Rais Samia Live Saa 4 Asubuhi muhoji haya Maswali

    Acha upumbavu wewe hivi kuna model yoyote yakuafata kwa Magufuli? Kwenye nini uchumi, demokrosia au social interaction au diplomasia? Naomba utoe facts
  5. BLUE BALAA

    Kinachomtesa Rais Samia ndicho kilimtesa Mzee Mwinyi

    Pumbavu wewe ulitaka akazindulie Royal tour kijijini kwenu hamwendi hata mjini? Kaenda kuzindulie kwa wanaosafiri ili kuleta impact
  6. BLUE BALAA

    Natafuta mtu wa kuwekeza mtaji kwenye biashara ya utalii

    Risky ya utalii unayoingolea wewe bank pia wanaiona hayo mengine ya shareholder wengine mimi siko huko kwani my partner is my wife ambao we are all sailing on the same boat
  7. BLUE BALAA

    BBC: Meli ya kivita ya Urusi yalipuliwa

    Amelikoroga alinywe mwenyewe mjinga huyu alidhani Magharabi na USA wangemuumnga mkono
  8. BLUE BALAA

    Natafuta mtu wa kuwekeza mtaji kwenye biashara ya utalii

    Mimi ni mfanya biashara wa mambo ya utalii katika malazi na ushauri wa biashara katika mambo yanayo husiana na uwekezaji katika biashara ya utalii. Nina uzoefu mkubwa katika biashara hii na ni msomi wa ngazi ya stashahada na shahada ya utalii na utawala wa biashara. Nimeyumba katika biashara...
  9. BLUE BALAA

    Zamaradi Mketema aweka ujumbe wa siku ya Valentines kwa mumewe kwenye bango Morocco, Dar es Salaam

    Ni upumbavu uliokithiri na kujichora. unakuta mpenzi mwenyewe huko njr ni kicheche balaa kwahiyo unajichora tu kwenye mabango
  10. BLUE BALAA

    Consultation is needed kindly assist

    Asante sana kwa kunielewesha
  11. BLUE BALAA

    Consultation is needed kindly assist

    Hello Doctors, I have been diagnosed with hypertension since February last year, so I am comfortably in telmisartan H 80+125mg medication which helps me but sometimes my BP spikes to 170/103. Well, my physician has been advising me to start taking amlodipine which I think is 15-20mg. My...
  12. BLUE BALAA

    "Mwanamke afanyiwe nini ili awe na utulivu, utii na upendo wa dhati kwa mwanaume wake?" Jibu limepatikana

    Tushaona ndoa ngapi wanafanyiwa hivyo vyote na bado wanasaliti na hatimae ndoa kuvunjika. Na bado huwa hawajuti kwani mkisha achana akienda kwa huyo aliyekuwa anakusaliti nae bado atachepuka tena!! Ni kumuomba Mungu tu
  13. BLUE BALAA

    Elimu na pesa zikiwa kwa mwanamke, heshima haina nafasi

    Aisee hawa viumbe ni watu wa ajabu sana
  14. BLUE BALAA

    Elimu na pesa zikiwa kwa mwanamke, heshima haina nafasi

    Ni kweli mwanamke anapokuwa na hela na elimu kumzidi mume wake hakika dharau itakuwepo, ila mimi sisemi wanawake wenye hela na elimu wasiolewe lahasha waolewe kama kawaida ila wewe muowaji isiwe tu umeenda kuoa sababu umevutiwa na status yake. Hapo ndo inapokuwa shida
Back
Top Bottom