Recent content by bless on

  1. B

    JamiiForums Tanzania Kisa cha mwanamke kutokwa na damu kwa miaka 12 kinaleta mkanganyiko, sometimes bibilia inatakiwa iwe specific bhana!

    Injili ya thomas inaelezea kwa urefu na mapana namna ya kujitambua Sasa watu wakijitambua unadhani wataenda kanisani? Jibu ni kwamba kanisani kutakosa watu hii ndo sababu kuu ya kuiondoa injili ya thomas na vitabu vingine vingi.
  2. B

    JamiiForums Tanzania Tupac aliwaza mbali sana kuhusu suala la kuleta watoto duniani

    Mungu yupo kweli Ila wa kwenye biblia na kuruan ni Mungu wa mchongo alafu tukija kwa shetani sio kiumbe ni nafsi ileile ya Mungu yenye pande mbili.
  3. B

    JamiiForums Tanzania Pastor Neema anaeleza kwa uwazi matumizi ya sadaka zinazotolewa kanisani, Nini maoni yako?

    Kuna kanisa wamemnunulia mchungaji gari eti ili aweze kufika mbali akieneza neno la Mungu wa kufikirika wa kwenye biblia najiuliza kwanini sadaka hazitumiki kuwainua waumini maskini kwanini waumini wasipewe mikopo midogo midogo kwa masharri mepesi ili waweze kuinuka kiuchumi???
  4. B

    JamiiForums Tanzania Tupac aliwaza mbali sana kuhusu suala la kuleta watoto duniani

    D Dunia itakuwaje sehemu salama ya kuishi wakati Kuna Mungu na Shetani?
  5. B

    JamiiForums Tanzania Kisa cha mwanamke kutokwa na damu kwa miaka 12 kinaleta mkanganyiko, sometimes bibilia inatakiwa iwe specific bhana!

    Jiulize kwanini waliondoa injili ya thomas?
  6. B

    JamiiForums Tanzania Kisa cha mwanamke kutokwa na damu kwa miaka 12 kinaleta mkanganyiko, sometimes bibilia inatakiwa iwe specific bhana!

    Biblia imeandikwa kwa mafumbo na wachungaji wanaitafsiri kwa maslahi yao
  7. B

    JamiiForums Tanzania Car4Sale Toyota Land Cruiser VX V8 ya mwaka 2007 iko sokoni

    Chuma Hilo kwa heshima
  8. B

    JamiiForums Tanzania Je ni kweli, Ngono inapunguza nguvu za kiroho.?

    Ni kweli kabisa ngono zembe husababisha nguvu za kiroho kupungua Lakini pia unaweza kupata nuksi, mikosi na mabalaa. Mbegu ya mwanaume+yai la mwanamke= HUUNDA MTOTO (nafsi mpya kabisa) huu si mchezo au burudani ni nishati ya juu kabisa manii ya mwanaume au maji matakatifu ya kike ni nishati kuu...
  9. B

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mapenzi Bongo vs Ulaya: Mizengwe yote hii?

    Kule ulaya ukimfuata Demu ukamuambia unampenda jibu utalipata kabla hata dakika Tano hazijaisha. Akikupenda atakujibu I like you too na mazungumzo yataendelea akiona humvutii atakuambia I'm not interested kwa heshima. Hakuna Ile habari ya ngoja nifikirie ambayo itachukua mwezi mzima. Kwao, muda...
  10. B

    JamiiForums Tanzania Kwanini Mungu ahitaji sadaka ya masikini?

    Unamzungumzia Mungu yupi? Kama ni Mungu wa kwenye biblia huyo ni Mungu fake aliyewekwa na mabeberu kwa kazi maalumu.
  11. B

    JamiiForums Tanzania Pori la Mbweni ndo jehanamu mpya?

    Duh!
Back
Top Bottom