Recent content by bless on

  1. bless on

    JamiiForums Tanzania Kuna umuhimu gani wa mtu kuota ndoto?

    .
  2. bless on

    JamiiForums Tanzania Ubinafsi: Adui Mkuu wa Maendeleo Afrika?

    Mara nyingi unapoibuka mjadala kuhusu umaskini na udorora wa maendeleo katika nchi za Afrika, jibu la haraka la wengi huwa ni kulaumu ukoloni, mataifa ya Magharibi, au historia. Lakini je, huo ndio ukweli wote leo hii? Tukizungumza ukweli bila kupepesa macho, tunapoweka macho yote kwa...
  3. bless on

    JamiiForums Tanzania Hizi ndo sababu 5 kwanini Telegram ni bora mara 100 kuliko WhatsApp

    Telegram sio ndogo Ina mamia ya mamilioni ya watumiaji whatsapp Ina watumiaji billion 2 sababu ni kwamba whatsapp, Facebook na Instagram chini ya meta zilianza mapema kwahiyo kumshawishi mtu kuhama sio rahisi hata hivyo wafanyabiasha na watu wa Teknologia (IT) nk wanatumia telegram kutokana na...
  4. bless on

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Afcon 2027 kuota mbawa Tanzania, Rwanda kuchukua nafasi

    Pamoja na kwamba ni tetesi hatimaye AFCON ikafanyika Tanzania alafu siku hiyo hiyo ikatangazwa ni maandamano kama ilivyokuwa 7/7 itakuwaje?
  5. bless on

    JamiiForums Tanzania Father Kitima amstukia Dkt. Nchimbi

    mwanaume kamili unawezaje kuishi usidinge?. Inawezekana (na hapa ndipo siri ilipojificha) Ukiweza utakuwa very smart.
  6. bless on

    JamiiForums Tanzania Jiuzulu. Nakushauri jiuzulu kabla ya ukingo

    Ngoja tuone!
  7. bless on

    JamiiForums Tanzania Hivi duniani kuna starehe kama hii?

    Ni vice versa mkuu naona uko moto bati huelewi😂
  8. bless on

    JamiiForums Tanzania Hivi duniani kuna starehe kama hii?

    Nchi ngumu sana hii ndo maana badala ya kwenda mbele inarudi nyuma.
  9. bless on

    JamiiForums Tanzania Amroga aliyeshare naye biashara mpaka kuwa chizi

    Watu hawajali Kuna watu wameumbwa kuumiza wengine
  10. bless on

    JamiiForums Tanzania Amroga aliyeshare naye biashara mpaka kuwa chizi

    Usiombe yakukute endelea kujizima data
  11. bless on

    JamiiForums Tanzania Jinsi AI Inavyoharibu Maisha Yako Kimya Kimya

    😁😁😁
  12. bless on

    JamiiForums Tanzania Jinsi AI Inavyoharibu Maisha Yako Kimya Kimya

    Ikitumika vizuri hakuna shida na wala sijasema haifai ila Kuna watu AI Ina watawala badala wao waitawale AI
  13. bless on

    JamiiForums Tanzania Jinsi AI Inavyoharibu Maisha Yako Kimya Kimya

    Ujuaji kivipi? Kwani nimesema AI ni mbaya?
  14. bless on

    JamiiForums Tanzania Jinsi AI Inavyoharibu Maisha Yako Kimya Kimya

    Wewe ni mfia dini?
  15. bless on

    JamiiForums Tanzania Nimeacha kabisa kumwamini Mwanamke hata kidogo

    Kama unafanya kazi ambayo sio halali usimshirikishe mwanamke
Back
Top Bottom