Injili ya thomas inaelezea kwa urefu na mapana namna ya kujitambua Sasa watu wakijitambua unadhani wataenda kanisani? Jibu ni kwamba kanisani kutakosa watu hii ndo sababu kuu ya kuiondoa injili ya thomas na vitabu vingine vingi.
Kuna kanisa wamemnunulia mchungaji gari eti ili aweze kufika mbali akieneza neno la Mungu wa kufikirika wa kwenye biblia najiuliza kwanini sadaka hazitumiki kuwainua waumini maskini kwanini waumini wasipewe mikopo midogo midogo kwa masharri mepesi ili waweze kuinuka kiuchumi???
Ni kweli kabisa ngono zembe husababisha nguvu za kiroho kupungua Lakini pia unaweza kupata nuksi, mikosi na mabalaa. Mbegu ya mwanaume+yai la mwanamke= HUUNDA MTOTO (nafsi mpya kabisa) huu si mchezo au burudani ni nishati ya juu kabisa manii ya mwanaume au maji matakatifu ya kike ni nishati kuu...
Kule ulaya ukimfuata Demu ukamuambia unampenda jibu utalipata kabla hata dakika Tano hazijaisha. Akikupenda atakujibu I like you too na mazungumzo yataendelea akiona humvutii atakuambia I'm not interested kwa heshima. Hakuna Ile habari ya ngoja nifikirie ambayo itachukua mwezi mzima. Kwao, muda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.