Recent content by blastoLite

  1. blastoLite

    Arusha: Kiwanja Kilichouzwa Kifisadi na Madiwani Wa CCM Charudi Mikononi Mwa Umma Chini ya CHADEMA

    Mikononi mwa umma chini ya Chadema!!! Haiko sahihi maana hata chadema bado ni chama cha kisiasa tu. Nadhani hapakuwa na haja ya kusema mikononi mwa umma chini ya chadema kuonyeshA jidihada zao bali ungesema 'mikononi mwa umma'.
  2. blastoLite

    Ushauri: Kipi kifanyike kwa wasanii wa Tanzania washinde tuzo za MTV?

    Jana tumeshuhudia utolewaji wa tuzo kuwa kabisa barani Afrika za MtV MAMA award, ambapo Kwa Mara ya kwanza wasanii wengi kutoka Tanzania walitajwa kuwania tuzo hizo. Lakini cha ajabu na kilichoshtua wengi ni pale ambapo hakuna hata msanii mmoja kutoka Tanzania akiyenyakua tuzo hizo. Nchi...
  3. blastoLite

    Mpya...

    Nahitaji ushirikiano wenu jF
  4. blastoLite

    Afrika Kusini kujiondoa mahakama ya ICC

    Baada ya Burundi kuweka wazi nina ya kujiondoa katika mahakama ya makosa ya kiarifu yaani ICC wiki hii Afrika Kusini kama taifa lenye nguvu kiuchumi hayo imetangaza kujitoa katika mahakama hiyo, na mataifa mengine ya Kiafrika kama Kenya na Namibia yako mbioni kuweka wazi kujiondoa. Je ni suala...
  5. blastoLite

    Maisha Plus acheni kutuongopea

    Inawezekana kabisa, nimewah kulala juu ya mti zaidi ya siku tatu
  6. blastoLite

    UDSM chuo baba

    Udsm daruso ni zaidi ya viongozi, hongereni
  7. blastoLite

    Tetesi: Snoop Doggy ndie msanii kutoka nje atakayetumbuiza kwenye Fiesta Dar

    Mnaoshangaa nadhani hamjui snoop doggy ni nani.
  8. blastoLite

    Prof. Ndalichako awatupia lawama Bodi ya Mikopo kufanya kazi kwa mazoea, arejesha posho ya 8,500

    Umoja ni ushindi, hongereni DARUSO Kwa jitihada zenu.
  9. blastoLite

    Come back Kikwete: Uliwezaje kufanya yote haya?

    Kikwete ni generous
  10. blastoLite

    Wasifu/CV ya Profesa Joyce Ndalichako

    Hakuwah kuwa TO mara mbili, akisoma PCB advance
Back
Top Bottom