Niko uwanja wa mbauda sokoni watu wanazidi huku wakiwa wamependeza kwa kijani na njano kujaa kuna piki piki, magari na mabus mawili.
CCM nambari wani! hii kata ni yetu tu
ninapicha ila sijui namna ya kuziweka..
wasukuma wanaupole wa kinafiki na unyenyekevu wa nje fika ndani sasa ndo utajua hakuna watu wenye roho za kikatili kama hawa watu,kwa mashine kweli wamejaliwa.mm sitaki kusikia kabisa habari za hao watu.
pole sana dada,kwani kufika kileleni ndio furaha kuu ya ndoa,ila hata kama anakauli mbaya tafuta sababu ya hiyo kauli mbaya,mbona mwanzo haikuwepo.vitabu vya dini vinasema mwanamke mpumbavu huvunja nyumba yake kwa mikono yake mwenyewe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.