Habari wana jamvini
Nina shida kidogo ndani ya familia yangu, na mara nyingi nimepata ushauri mzuri tu kutoka ndani ya wana jamii wa JF japo wengine watakukejeli na mengine mengi.
Leo nimekuja umu nikiomba mawazo yenu au dawa ya kutibu ili tatizo, mimi nina mume wangu na nampeenda saaana, na tuna mtoto tayari mkubwa tu, kipindi cha nyuma nilikua ninafurahia sana kipindi tupo sita kwa sita, ila toka mwaka huu uanze kiukweli si enjoy mapenzi yake kabisa, mpaka natamani kama tukae dada na kaka, ila ilo haliwezekani nami sikutoka nyumbani kwetu kufuata undugu, yeye ana enjoy ila mimi anifikishi kabisa, na sifikilii kutoka nje ya ndoa na ndo maana nimekuja umu najua kuna washauri wazuri mnisaidie naomba mchango wenu wa mawazo na uwe wa kujenga na si kubomoa sababu nampenda sana mume wangu na nina wivu nae sana na namueshimu sana, inafikia sa nyingine akitaka nambaniania najua anifikishi so nakuwa simtendei haki mume wangu. Na toka niolewe na huyo mume wangu sijawai toka nje ya ndoa na sitegemei japo wote bado vijana.
Hahah Kipipi, nipo bwana tatizo Soulmate alifuma PM za watu kwangu basi wivu moja kwa zote.................... Dada mtoa mada, mengi yamesemwa ila mie ninaongezea tu kuwa communicate, communicate and communicate more. Kaa chini wewe na mumeo zungumzeni huku mkireflect zamani mlikuwaje na sasa ikoje. Pili jaribu kupunguza msongo wa mawazo, jifunze kupostpone issues za kazi, maisha e.t.c muda wa kukutana na mumeo. Uweke uwe special moment ambayo mo matter what you are there to enjoy.Discussion kama hizi zinanifanya niwakumbuke Mbu na MwanajamiiOne pamoja na nyumba kubwa.
I wonder where are they . . .!
Hahah Kipipi, nipo bwana tatizo Soulmate alifuma PM za watu kwangu basi wivu moja kwa zote.................... Dada mtoa mada, mengi yamesemwa ila mie ninaongezea tu kuwa communicate, communicate and communicate more. Kaa chini wewe na mumeo zungumzeni huku mkireflect zamani mlikuwaje na sasa ikoje. Pili jaribu kupunguza msongo wa mawazo, jifunze kupostpone issues za kazi, maisha e.t.c muda wa kukutana na mumeo. Uweke uwe special moment ambayo mo matter what you are there to enjoy.
Habari wana jamvini
Nina shida kidogo ndani ya familia yangu, na mara nyingi nimepata ushauri mzuri tu kutoka ndani ya wana jamii wa JF japo wengine watakukejeli na mengine mengi.
Leo nimekuja umu nikiomba mawazo yenu au dawa ya kutibu ili tatizo, mimi nina mume wangu na nampeenda saaana, na tuna mtoto tayari mkubwa tu, kipindi cha nyuma nilikua ninafurahia sana kipindi tupo sita kwa sita, ila toka mwaka huu uanze kiukweli si enjoy mapenzi yake kabisa, mpaka natamani kama tukae dada na kaka, ila ilo haliwezekani nami sikutoka nyumbani kwetu kufuata undugu, yeye ana enjoy ila mimi anifikishi kabisa, na sifikilii kutoka nje ya ndoa na ndo maana nimekuja umu najua kuna washauri wazuri mnisaidie naomba mchango wenu wa mawazo na uwe wa kujenga na si kubomoa sababu nampenda sana mume wangu na nina wivu nae sana na namueshimu sana, inafikia sa nyingine akitaka nambaniania najua anifikishi so nakuwa simtendei haki mume wangu. Na toka niolewe na huyo mume wangu sijawai toka nje ya ndoa na sitegemei japo wote bado vijana.
TALK TO YOUR HUSBAND. If something is missing tell him. He deserves to know
kabla hujaja hum ndani kuomba ushauri
Dont forget what life and marriage is about.
Grass isnt always greener on the other side.
so take time to water your own grass..