Jamaa alikuwa anajaribu kum-provoke ili ajibu mapigo ili akitokeza ile backup ya jamaa wampige risasi. Maana walishaona jamaa kabana ndani ya kibanda na wasingeweza kufanya chochote maana alikuwa anawapiga yeue tu.
Cheki vizuri hapa
Kuna siku baada ya kutoka kwenye madaraka mkuu wenu yatamkuta mambo na kila mtu hata aliyekuwa mpambe wake wa karibu atamkimbia na atachekwa na kila mtu hadi waliojifanya washkaji wake.
Time will tell.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.