Best Hip-Hop MC's of all time Bongo (Top five)

Ntajie albums tano za Sugu unazozijua
Tano tu! mi nakutajia na miaka kabisa na zote ninazo,nyingi kwa mfumo wa casette.
Nyie madogo wa juzi mnajua nini zaidi ya kuwasikiliza walamba lips
1.Ni mimi(1995)
2.Ndani ya bongo(1996)
3.Niite Mister ii(1998)
4.Nje ya bongo(1999)
5.Millenium(2000)
6.Muziki na maisha(2001)
7.Itikadi(2002)
8.Sugu(2004)
9.Coming of age(2006)
10.Veto(2009)
 
Anatambulika km muhasisi.. Lakini inspirations zimetoka kwa wengine
Wewe si umemuweka Jay kama namba moja wako...sasa kamuulize ni nani aliemuinspire kurap hapa bongo kama hatomtaja sugu.kabebwa sana kupewa nafasi kurap kwenye baadhi ya shows za sugu enzi hizo.
Halafu eti mshabiki jina tu wa juzijuzi unataka kuukataa ukweli
 
Tano tu! mi nakutajia na miaka kabisa na zote ninazo,nyingi kwa mfumo wa casette.
Nyie madogo wa juzi mnajua nini zaidi ya kuwasikiliza walamba lips
1.Ni mimi(1995)
2.Ndani ya bongo(1996)
3.Niite Mister ii(1998)
4.Nje ya bongo(1999)
5.Millenium(2000)
6.Muziki na maisha(2001)
7.Itikadi(2002)
8.Sugu(2004)
9.Coming of age(2006)
10.Veto(2009)
hapa tunaweza enda sawa
 
Hebu fanyeni comparison pia na tuzo walizochukua ili tuone criteria ya kusema huyu ni best mc compared to someone else
 
1. Fid Q
2. Ngwair
3. Prof J
4. Joh Makini
5. Sugu
6. Jay mo
7. Mbishi na incredible
7. Stamina na Roma
8. Msodoki
9. Nash Mc
10. Dizasta
Itifaki imezingatiwa
Sababu zilizozingatiwa
1. Ukubwa wa maudhui
2. Nafasi yao katika kuikuza hiphop ya kiswahili (bongo hip hop)
3. Ubunifu (upekee wao kifasihi)
Mkuu mimi binafsi Fid Q hawezi kuwa juu ya Ngwair ikiwa yeye mwenyewe Fid kwa mdomo wake alikiri ameshawahi kufuta verse kwa7bu ya Ngwair kwenye wimbo wa "CNN". Ngwair is the best rapper ever
 
Mkuu mimi binafsi Fid Q hawezi kuwa juu ya Ngwair ikiwa yeye mwenyewe Fid kwa mdomo wake alikiri ameshawahi kufuta verse kwa7bu ya Ngwair kwenye wimbo wa "CNN". Ngwair is the best rapper ever
Mkuu umesema ukweli Ngwair adse hana mfano.. .best mc ever, jamaa walimdhulumu sana Kupitia albums, kwenye shows wakawa wanamlipa pesa kidogo yan alikua ana maisha ya stress sana Ila bado aliweza kufanya game vizuri
 
Mkuu umesema ukweli Ngwair adse hana mfano.. .best mc ever, jamaa walimdhulumu sana Kupitia albums, kwenye shows wakawa wanamlipa pesa kidogo yan alikua ana maisha ya stress sana Ila bado aliweza kufanya game vizuri
Ni kweli kabisa hata ukicheki album yake ya "A.K.A MIMI' hakuna wimbo ambao utapeleka mbele bila kusikiliza. Jamaa aliweza kufanya Hip hop kupendwa na kila rika na jinsia zote.
 
Katika hzo albums 11 nkikuambia unitajie hata 5 kwa majina nna uhakika hutataja ..hii n dhahiri kabisa kuwa jamaa ndio kafanya mengi but yenye mashiko ni machache
Futa kauli yako mkuu...then kama kitu huelewi bora uombe kueleweshwa kuliko kufanya ubishi mwishoni unaumbuka tu.

NI MIMI
NDANI YA BONGO
NJE YA BONGO
MILLENIA
MUZIKI NA MAISHA
SUGU
COMING OF AGE
ITIKADI
Vipi inatosha au niongeze sauti?
 
Futa kauli yako mkuu...then kama kitu huelewi bora uombe kueleweshwa kuliko kufanya ubishi mwishoni unaumbuka tu.

NI MIMI
NDANI YA BONGO
NJE YA BONGO
MILLENIA
MUZIKI NA MAISHA
SUGU
COMING OF AGE
ITIKADI
Vipi inatosha au niongeze sauti?
nimepitia uzi mzima,watotot wapumbavu sana,ukichambua ngoma kali za sugu utapata nyingi kuliko joh makini na wasanii wengine watafanya katika maisha yao ya muziki,mtu ana albam 11 afu unamletea dharau,na albam hizo wimbo wa mapenzi ni mmoja tu kila albam,siku hizi wanavyoviimba hata havieleweki
 
G.morning everyone,
Me ni big fan wa hip-hop ya bongo, na katika research nlioifanya hii ndo list yangu ya MA mc bora wa muda wote waliowahi kutokea hapa Tanzania

1) Professor j,
Huyu jamaa anabaki kuwa no 1 kwa muda wote kutokana na uwezo wake binafsi wa Utunzi wa mashairi na uwezo wa kuandika na kusimamia kwenye Mada anayoielezea tofauti na MA mc wengine Ambao Unakuta jina LA nyimbo na maudhui ya nyimbo yanalandana, pia n mc pekee mwenye nyimbo nyingi Kali zilizogusa mashabiki wa kila Aina na ni moja ya inspirations kwa new upcoming hip-hop artists
Naweza kumuita God father wa bongo, ktk industry ya music.

2) Albert mangwea & j. Moe
Hawa jamaa kwangu wanashika no 2 kwa pa1 coz wana uwezo ambao almost unalingana, ukiangalia nyimbo km kimya kimya, kimafia. N
K waliofanya colabo Wote utagundua uwezo wao n km unafanana, achilia mbal uwezo wa ngwair kwenye free Style.. Na Utunzi wa j.moe akiwa anaelezea story. Wanabaki kuwa best rappers wa muda wote.

3) Chidibenz
Huyu mfalme wa Ilala ni mc hatari Sana,ana vocal na michano mikali sana na pia ana uwezo Mkubwa sana kwenye performance, wengi mnakumbuka enzi zake kwenye kila collabo alikua anakimbiza, Huyu km angepata manager mzur, na angepunguza kiburi jamaa Angekua Mbal sana, kwa Mimi nampa no 3 kwa ubora wake.

4) Langa & Fid q
Hawa jamaa kwa pa1 nawapa nafasi ya nne, Fid q anauwezo Mkubwa wa kuandika vitu ambavyo viko deep sana na km n mtu unayesikiliza juu juu pengine unaweza usione Au usielewe kabisa ubora wake, Langa alikua na uwezo Mkubwa sana wa ku spit kingereza na kiswahili Hakua na mistari konde Ila alikua anaandika vitu deep sana, kwa mtazamo wangu Langa na fid q wanauwezo unaofanana tofauti n kuwa Langa mpaka anatutoka Hakuwa na project nyingi lakini ukisikiliza nyimbo zake utatambua uwezo wake, my favorite line ya Huyu jamaa ni (hawanichekei usoni kisogoni wananisema wanatafuta mabaya wanajifanya Hawaoni mema).

5) Nikki mbishi (Baba Malcom)
Huyu jamaa ni mkali sana kwenye uandishi na flow anauwezo Mkubwa wa ku free style, ana punch za maana na ngoma ambazo n classic, changamoto nnayoiona kwa Huyu jamaa ni ana km kiburi flan Hv ana attitudes za ajabu ajabu km kudis wanasanii wenzake na ujuaji mwingi.. Ila ni mc hatar sana
Apart from hao top five pia wapo Mc's wengine wakali km stereo, one the incredible, Godzilla, p the mc country boy, na wengine wanaofanya vizuri

Kindly regards
Dagger-v
Umedefend post yako vizuri sana, unaelewa unachoandika
 
The most complete known rapper wa Bongo ni Nikki Mbishi.
Reasons:
- Kuandika anajua (authentic lyricism).
- Freestyles usipime.
- Flow kali kabisa.

Tatizo ni attitude tu ndo haiendani na Industry ya kulambana miguu hapa Bongo.
Na fact kwamba mwana kagoma kubadilika kimidundo.
Katika watu walioongea point ya msingi wewe umeongea,na hii thread ingeishia hapa. 1.NICK MBISHI 2.NICK MBISHI 3.NICK MBISHI 4.PR.JAY 5.SOLO THANG 6.MARK D mzee wa jumba bovu watu hawakumwelewa huyu mwamba ila ana mistari na flow kali 7.Afande sele 8.GOD ZILLA mzee wa la kuchumpa RIP 9.FID Q 10.YOUNG KILLER akiendelea kukaza kwa miaka mingine 5 anastahili kuwepo hapo
 
nimepitia uzi mzima,watotot wapumbavu sana,ukichambua ngoma kali za sugu utapata nyingi kuliko joh makini na wasanii wengine watafanya katika maisha yao ya muziki,mtu ana albam 11 afu unamletea dharau,na albam hizo wimbo wa mapenzi ni mmoja tu kila albam,siku hizi wanavyoviimba hata havieleweki
Hawataki kutoa respects to the OGs
 
kwa wasanii niliyowasikiliza
1.Professor jay
2.Mwana Fa
3.Fid q
4.Ngair
5.Chid benz Chuma
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom