Tukumbushane tu wasanii ambao game limeshawaacha ila wao kama bado hawajijui

Sio vibaya hawa wakijipanga sehemu nyingine. Muziki ushawaacha.

1. Fid Q
Si vibaya ukapumzika. Maisha sio music pekee.

2. Joh Makini
Samahani. Inauma lakini ndo ukweli.

3. Mwana FA
Kaka umebaki na fan base tu ambayo ni jina tu linakubeba. Concentrate katika biashara. I hope you are doing good there.

4. Dully Sykes
We nafikiri wala huitaji kukumbushwa. Umeshajitoa mwenyewe.

5. Ney Wa Mitego
Huyu bro hata Kiswahili hajui.

6. Nikki wa Pili
Nashukuru pia huyu kashasanda mwenyewe.

7. Prof. Jay
Mh. endelea na siasa tu. Muda ushakutupa.

8. Ali Kiba
Huyu naye nafikiri kashasoma alama za nyakati.

9. Konde Boy
Nasikitika kumuweka kijana huyu katika orodha hii.

Nitakuja na orodha ya wanawake baadae. Uzi huu ni kiroho safi tu. No beef no meat.

Povu ruksa. Unaruhusiwa kubadili orodha.

UPDATE 1. WANAWAKE WANAOPOTEZA MUDA KTK TASNIA ILHALI ISHAWAKATAA. WAFANYE MENGINE.

1. Ray C.
Dada yetu mpendwa ulifanya mengi.. Ulijimaliza mwenyewe.
Pole.

2. Lady Jay Dee.

Ni ngumu sana kukutaja legendary kama wewe ktk orodha hii. Nisamehe.

3. Mwasiti.
Gone too soon. Najua si mapenzi yako. Fanya mengine.

4. Rosa Ree..
Bangi zinakupeleka kubaya... Mziki ushafeli. Unakera. Unaimba upuuzi.

5. Ruby..
Course ulosomea college jaribu ikupatie kazi.. Usha potea kwwnye mziki. Huwezi.

6. Giggy Money
Huyu kashajielewa.. Alikuja ktk tasnia hii kudanga tu.

7. Lulu Diva
Acha ...Achaa.. Acha kabisaa... Hujitambui na hujielewi. Music is Passion.

8. Mimi Mars...
Urembo wako unakubeba.. Ila mweupee. Shukuru pia Unaegemea nyota ya Sister.

9. Nandy...

Nasikitika nawe upon ktk orodha hiii...
Unatumika..then utatupwa ka makombo.

Kesho nitakuja na Young Super talents... Rising Stars. Doing Good..

No beef No meat..
100% ww ni shabiki wa wakata viuno maana list yote ya men ni Wengi ni watu wa Hip Hop uliowaweka alafu ndio wanaofanya vzr muda wote na sasa. Too sad bado ww hufuatilia mziki maana hata chat za muziki top 20 au top 10 za nyimbo zinazokiki ndio wasanii ambao wapo kwenye list yako ya kipuuzi hujui chochote kuhusu muziki ww fanya tafiti yako na upya.
 
AY huyu dogo tangu enzi za old school nilikuwa simuelewi alikuwa anaforce sana kati ya ngoma lukuki alizotoa enzi hizo mi niliielewa RAHA TU REMIX akiwa na marehemu COMPLEX zingine zote hadi sasa ni urojo,kwa mbaliiiiiiiii ZIGO REMIX ambayo mondi kambeba, project zake nyingi kabla ya kutoka huwa zina promo ya kufa mtu sasa subiri kazi itoke ni ardhi na mbingu,kiufupi AY aendelee na biashara zake tu ila muziki kama ANA FORCE.
 
Ila NAY wa Mitego kishaisha zamani,ila anajifanya kujificha kwenye shamba la mchicha,kwa kujifanya kuwaponda wenzake wamefulia wakati yy ndiye ana hali mbaya kuliko anao waponda,sijui anazani hatumuoni.
 
AY huyu dogo tangu enzi za old school nilikuwa simuelewi alikuwa anaforce sana kati ya ngoma lukuki alizotoa enzi hizo mi niliielewa RAHA TU REMIX akiwa na marehemu COMPLEX zingine zote hadi sasa ni urojo,kwa mbaliiiiiiiii ZIGO REMIX ambayo mondi kambeba, project zake nyingi kabla ya kutoka huwa zina promo ya kufa mtu sasa subiri kazi itoke ni ardhi na mbingu,kiufupi AY aendelee na biashara zake tu ila muziki kama ANA FORCE.

OMG...!!

Is AY mentioned down here !!??
 
Back
Top Bottom