Sasa nyie mtakuwa wajinga, kwamba mnaamini tu kwa sababu hakuna majibu ya moja kwa moja hamuwazi pengine hayupo au alikufa au hata pengine ni mwanamke.
Lakini vipi huwa hamujiulizi yeye alitoka wapi?
pharao mimi ni miongoni mwa watu nisiye amini ktk dini, siamini ktk dini kwa sababu dini zote ni gunduzi za binadamu. Lakini ktk kumshawishi binadamu azikubali ilibidi waseme zimetoka kwa Mungu
Kuhusu nyinyi mnaoamini Mungu hata nyinyi mna enterest zenu , wengine mnaongozwa na hofu ya kuchomwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.