Naombeni VPN za uhakika

Naombeni VPN za uhakika

Na hiyo 1111 bila kulipia 2700 hauwezi kutoboa Itakuwa inakatakata asipolipia
Kuna kipindi nilikuwa natoa darasa kwa watu wawasiojua kutumia Facebook
Ili nikufundishe ku LIKE ni Jero.
COMMENTS ni 1000
Account ni 5000
Kufuta nk kila kitu na bei yake.

Baada ya kuja kupata ufahamu walikuwq wanacheka sana
 
Wakiamua kuzima hata utumie vpn ya mizimu na majini hazishiki we tulia tu usije ukatapeliwa
Unaelewa tofauti kati ya internet na network( mtandao)???
 
Download proton vpn, setting ya protocol weka stealth
 
Tumia vpnly ukiwasha umewasha hata siku mbili mfululizo wewe tu
 
Back
Top Bottom