Habari zenu wakuuu..... Naomben msaada wenu, nimeplan mwakan 2022 niende nje kusoma masters nikifanikiwa kupata scholarship!! Nchi nazopendelea ni South Korea, China, India na Australia huku course iwe mambo ya environment, gender au social development!! Mwny ufaham samahan naomba anisaidie...
Kafulila hana kosa, ni kwel kuna ufisadi ulifanyika kwe ile mikataba sema ilihusisha had ikulu ndo maana bwana Ruge alikua anajiamini na kusema waitwe viongozi walosaini!! Kichofanyika bwana ruge hajaogopa ndo maana wamemuachia!! HII NCHI INA VITUKO
Endeleeni kumuogopa tu hata kama kishakufa!!! Kipind hiki ndo tunaishi kitanzania sio kinafki na uongo!!! Mama samiah twende tuuu ingawa kuna mambwa machache ka haya bdo yko kwe system uyatoe taratibu
Hiyo kupitia kutambua madhila ya CCM miaka 59 baada ya Uhuru maendeleo ya kujikongoja na propaganda za miaka mitano ya JPM.
NDANI YA MIAKA 5
1. Kuua soko la mazao ya biashara kama vile korosho, tumbaku na kahawa siku hiz hayana thamani kama zamani.
2. Kuwatesa watumishi kwa kutowapa stahiki...
Kwa sera gani alotekeleza kwa watumishi au aloahid??? Hana mvuto tena kwa watumishi, ni mtumishi mpuuz ndo atakayempa kura af kizur watu washatambua kura ni SIRI!! watamjibu kwe Sanduku sio hadharan mana ni mtu wa visas sna
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.