Serikali itende haki

Serikali itende haki

Ngho

Senior Member
Joined
Jun 2, 2015
Posts
121
Reaction score
192
Karibuni kwenye symposium wajumbe,

Nimeona kuna baadhi ya vitu SERIKALI inafanya ambavyo vinamuumiza moja kwa moja mwananchi. Mathalani suala la Tozo za simu, Kodi ya nyumba kupitia LUKU, na baadhi ambavyo yanapangwa yenye lengo la kujinufaisha YENYEWE huwa hawazingatii au kuhofia Mzigo kwa wananchi. Wananchi ambao wamekuwa wakikaa kwa muda kusubiri nani wa kuwasaidia lakini HAWAIONI kesho yao.

Mnamo tarehe 27 July BoT walitoa mapendekezo katika kipindi hiki baada ya mdororo wa uchumi uliosababishwa na COVID-19 yaliyolenga kupunguza ukali wa maisha, miongoni mwa vitu ambavyo walikuwa wamevilalamikia ni suala la RIBA kwenye mikopo ya Banks ambayo ni 17%. BoT ilizitaka Banks kushusha RIBA kutoka 17% mpaka 10% agizo ambalo halijatekelezwa mpaka leo na wamelisahau au LINA MOTO.

HOJA YANGU:
Serikali ijikite katika mizani katika kuhudumia umma kwa sababu vyovyote inavyoshindwa kusimamia WELEDI katika malengo yake kwenye baadhi ya TAASISI inatoa taswira ambayo ni sio nzuri kwa wananchi.

Suala la Tozo za miamala ya simu wananchi walioshirikishwa ni wale DARAJA la kwanza (MPs) wakatutika kuwa hatuna shida, suala la Kodi ya nyumba nalo kupitia WALE WALE, tumepokea na maumivu tunayavumilia.

Ila ni vipi SECTA ZINGINE ambazo zinashindwa kusimama kwenye utekelezaji wa maagizo ya SERIKALI? Au wameshindwa kukubaliana au dhana ya ushirikishwaji?

SERIKALI itende haki.
 
Karibuni kwenye symposium wajumbe,

Nimeona kuna baadhi ya vitu SERIKALI inafanya ambavyo vinamuumiza moja kwa moja mwananchi. Mathalani suala la Tozo za simu, Kodi ya nyumba kupitia LUKU, na baadhi ambavyo yanapangwa yenye lengo la kujinufaisha YENYEWE huwa hawazingatii au kuhofia Mzigo kwa wananchi. Wananchi ambao wamekuwa wakikaa kwa muda kusubiri nani wa kuwasaidia lakini HAWAIONI kesho yao.

Mnamo tarehe 27 July BoT walitoa mapendekezo katika kipindi hiki baada ya mdororo wa uchumi uliosababishwa na COVID-19 yaliyolenga kupunguza ukali wa maisha, miongoni mwa vitu ambavyo walikuwa wamevilalamikia ni suala la RIBA kwenye mikopo ya Banks ambayo ni 17%. BoT ilizitaka Banks kushusha RIBA kutoka 17% mpaka 10% agizo ambalo halijatekelezwa mpaka leo na wamelisahau au LINA MOTO.

HOJA YANGU:
Serikali ijikite katika mizani katika kuhudumia umma kwa sababu vyovyote inavyoshindwa kusimamia WELEDI katika malengo yake kwenye baadhi ya TAASISI inatoa taswira ambayo ni sio nzuri kwa wananchi.

Suala la Tozo za miamala ya simu wananchi walioshirikishwa ni wale DARAJA la kwanza (MPs) wakatutika kuwa hatuna shida, suala la Kodi ya nyumba nalo kupitia WALE WALE, tumepokea na maumivu tunayavumilia.

Ila ni vipi SECTA ZINGINE ambazo zinashindwa kusimama kwenye utekelezaji wa maagizo ya SERIKALI? Au wameshindwa kukubaliana au dhana ya ushirikishwaji?

SERIKALI itende haki.
Siyo kwenye tozo tu, serikali nyingi zinapoteza muda na pesa nyingi kutengeza sera, kanuni,miongozo,pamoja na hizo tozo ulizo zitaja bila kushirikisha wadau(wananchi) mwisho wa siku hizo Sera ama tozo vinakuwa ni kero nakutokuwa na tija bali kukomoana, mwishoe ni kufeli nisawa na kumkamua ng'ombe ambaye hana chakula wanaunda bodi ya kuhakisha serikali matumizi yake yanafuata bajeti, swali fikirishi, je mdhibiti na mkakuguzi mkuu kashindwa? Yaani ni Fujo tupu
 
Lipa kodi ndo uzalendo, acha kulialia ww!!! Hakuna tatizo kwe kodi hizo mana zinajenga nchi
 
Issue sio kulipa kodi bali utitiri wa kodi zenyewe, kungekuwa na ushirikishwaji na ufanisi wa matumizi. Kuna watu wamelipa Kodi kwa miaka mingi hawana barbara, umeme, maji na hata AFYA. Lakini pia Serikali imeshindwa kuzisimamia baadhi ya taasisi za kifedha ili kumpa unafuu mwananchi k.v. bank bado zinatoza RIBA KUBWA kinyume na agizo la BoT la 27 July mwaka huu. UNFAIRNESS
 
Siyo kwenye tozo tu serikali nyingi zinapoteza muda na pesa nyingi kutengeza sera, kanuni,miongozo,pamoja na hizo tozo ulizo zitaja bila kushirikisha wadau(wananchi) mwisho wa siku hizo Sera ama tozo vinakuwa ni kero nakutokuwa na tija bali kukomoana, mwishoe ni kufeli nisawa na kumkamua ng'ombe ambaye hana chakula wanaunda bodi ya kuhakisha serikali matumizi yake yanafuata bajeti, swali fikirishi, je mdhibiti na mkakuguzi mkuu kashindwa? Yaani ni Fujo tupu
Well said. Embezzlement
 
Hata makusanyo ya mwaka ya Marekani yahamishiwe tz, bado watoto watakaa chini, vitambi vitaongezeka, na gharama kubwa za mazishi!
 
Hata makusanyo ya mwaka ya Marekani yahamishiwe tz, bado watoto watakaa chini, vitambi vitaongezeka, na gharama kubwa za mazishi!
Serikali imejikita kwenye makusanyo (jambo zuri) kuliko kwenye ufanisi wa makusanyo
 
Back
Top Bottom