THE BIG SHOW
JF-Expert Member
- Feb 28, 2012
- 16,365
- 12,823
Ndio nimejifunza kuacha mafisadi wafisadi mpaka kiwango cha 5G, kumbe tunapenda kupigwa kiasi hiki! Aliyenacho ataongezewa mara dufu hata kwa kuiba.
Mkuu hapa dunian hapa tunapita tuh, Magufuli yuko wapi leo,na kama kulikuwa na case ya kujibu kwa nn wakawekwa ndan muda mrefu hivyo bila hukumu??ndo Yale Yale ya masheikh wa uamsho,na ndiyo haya haya ya mbowe,kumkamata mtu na kumweka ndan muda mrefu bila ushahid kisha unamuachia,life is not rehearsal...utamrudishia vip muda wote uliompotezea