Ndio nimejifunza kuacha mafisadi wafisadi mpaka kiwango cha 5G, kumbe tunapenda kupigwa kiasi hiki! Aliyenacho ataongezewa mara dufu hata kwa kuiba.

Mkuu hapa dunian hapa tunapita tuh, Magufuli yuko wapi leo,na kama kulikuwa na case ya kujibu kwa nn wakawekwa ndan muda mrefu hivyo bila hukumu??ndo Yale Yale ya masheikh wa uamsho,na ndiyo haya haya ya mbowe,kumkamata mtu na kumweka ndan muda mrefu bila ushahid kisha unamuachia,life is not rehearsal...utamrudishia vip muda wote uliompotezea
 
JK alituambia zile hela ni mali ya IPTL tukamuoma mjinga na kumnanga kila kona...

Ni ngumu sana kuwaelewa watanzania na Tanzania juu ya haya yanayotokea, nafikiri hata dunia kuna mahala inatuona ni species tofauti..

tulipiga sana kelele JK alipoacha kuchukua hatua juu ya Ruge na Singasinga, tukamuita dhaifu na zihaka nyingi sana...Wanasiasa wetu tunaowashabikia wakashupaza shingo bungeni,, Hatimaye JPM akasikia kilio na kuwatia mkononi Singa na Ruge, Watanzania walewale wakamuita JPM dikteta na leo wanashangilia Ruge kuachiwa na kumdhiki marehemu JPM...

Kwa akili hizi ni bora CCM ikaendelea kutawala miaka mingine 300 labda kitakuja kizazi kinachojielewa...
Wewe mwenye akili ndio ujiulize kesi moja shitaka moja, mtuhumiwa mmoja amekubali kulipa faini baada ya kinachoitwa plea bargaining, mwingine ameachiwa na aliyemshtaki bila maelezo.
 
Ikumbukwe akiwa mbunge wa Kigoma kusini David Kafulila ndiye aliyepeleka bungeni hoja ya escrow iliyomuhusisha mzee Rugemalira.

AG wa wakati ule Jaji Werema alimpinga sana Kafulila na kumfananisha na yule kiumbe anayedandia miti hovyo kwa kutafuta sifa mbele ya nyani aitwaye Tumbili.

Jumaa kareem!
 
Inawezekana bwana Kafulila yuko sawa ili tatizo suala Bwn Rugemalira linagusa watu wakubwa pia technical bwn Rugemalira wametumia udhaifu wa kimfumo na kisheria kupoteza nguvu ya kesi ie Ofisi ya DPP ingekua huru kupeleleza na kukamata wote wanaohusika na huo ufisadi bila kujali cheo wala nafasi hii kesi ingekua nzuri Sana ka ya Bwana Jacob Zuma
 
  • Thanks
Reactions: Qwy
Ikumbukwe akiwa mbunge wa Kigoma kusini David Kafulila ndiye aliyepeleka bungeni hoja ya escrow iliyomuhusisha mzee Rugemalira.

AG wa wakati ule Jaji Werema alimpinga sana Kafulila na kumfananisha na yule kiumbe anayedandia miti hovyo kwa kutafuta sifa mbele ya nyani aitwaye Tumbili.

Jumaa kareem!
TUNARUDI KULE KULE, KATIBA IMARA . KILA MSHUKIWA ANGEUNGANISHWA BILA KUJALI NI NANI, MAANA ASIYESHITAKIWA WALA KUULIZWA NENO NI MUNGU PEKEE!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!. TULIOBAKI NI KUWA NA VYOMBO VYA KISHERIA HURUUUUUUUUUUUUUUUUUUUU
 
Kafulila hana kosa, ni kwel kuna ufisadi ulifanyika kwe ile mikataba sema ilihusisha had ikulu ndo maana bwana Ruge alikua anajiamini na kusema waitwe viongozi walosaini!! Kichofanyika bwana ruge hajaogopa ndo maana wamemuachia!! HII NCHI INA VITUKO
Ruge ,kuachiwa ni mipango ya mizoga gang.
 
Sijui hua tunakwama wap, eti watu wanao pola mali za umma kwa masrahi binafsi leo wanaonekana mashujaaa, .
 
Ikumbukwe akiwa mbunge wa Kigoma kusini David Kafulila ndiye aliyepeleka bungeni hoja ya escrow iliyomuhusisha mzee Rugemalira.

AG wa wakati ule Jaji Werema alimpinga sana Kafulila na kumfananisha na yule kiumbe anayedandia miti hovyo kwa kutafuta sifa mbele ya nyani aitwaye Tumbili.

Jumaa kareem!
Siyo lazima kila siku uanzishe thread kama huna hoja ya msingi.

Mahakamani unahitajika ushahidi, kama huwezi kuthibitisha jinai ya mtu hapo hakuna kesi, haijalishi mtu ametenda au hajatenda.

Sasa huyo Kafulila unamuhusisha vipi na mambo ya kimahakama, Kafulila alitimiza wajibu wake wa kibunge vizuri sana.

Mwambieni DPP wenu afute kesi zote za magumashi zisizo na ushahidi au ushahidi wa kufikirika ikiwemo kesi ya Mbowe.
 
Sijui hua tunakwama wap, eti watu wanao pola mali za umma kwa masrahi binafsi leo wanaonekana mashujaaa, .
Mzee Ruge ni shujaa kwa sababu alikataa kuporwa pesa na yule dhulumati ili amtowe jela.

Ruge alikuwa radhi afie jela lakini siyo kumpigia magoti nduli katili.
 
Mzee kweli aliiba hizo hela lakini yeye alipata mabaki tu, Je upo wapi ule mzigo mkubwa?? Hili suala CCM lazima walijibu - zile hela walizochukua weekend kwenye magunia jmosi pale stanbic ulienda wapi?

Mzee pole, watanzania tumekwelewa kwamba ulipata 30% na wewe bila uchoyo ukawagawia na wenzako za mboga. tunaitafuta ile 70% ya mzigo ilipo.
 
Siyo lazima kila siku uanzishe thread kama huna hoja ya msingi.

Mahakamani unahitajika ushahidi, kama huwezi kuthibitisha jinai ya mtu hapo hakuna kesi, haijalishi mtu ametenda au hajatenda.

Sasa huyo Kafulila unamuhusisha vipi na mambo ya kimahakama, Kafulila alitimiza wajibu wake wa kibunge vizuri sana.

Mwambieni DPP wenu afute kesi zote za magumashi zisizo na ushahidi au ushahidi wa kufikirika ikiwemo kesi ya Mbowe.
We mbwiga wa kwa masista sasa kama hakuna ushahidi si ndio uzushi wenyewe huo!!
 
Imagine, angefanya alivofanya Harbinder watu wangesema haki imetendeka ila sasa wanajua kuwa nchi hii unaweza kaa gerezani muda wwt visivo halali. Maana hata ile ya ku.kamata na kumfunglia shitaka upya, wamegwaya. Ndo ujue DPP anaposema wanatenda "Haki", wanachomaanisha ndo hicho! Miaka 4 "Upelelezi Haujakamilika", lakini lipa utoke, halafu yanaishia hapo - bila kujali ikiwa atadai fidia italipwa na nani, Za kodi au za mfukoni! Wanachezea maisha ya watu kutokana na madaraka yao, hawajali. Kila kitu kina mwisho
Mbaya sana hiyo kwa ustawi wa taifa.
 
Back
Top Bottom