Recent content by black-tz

  1. black-tz

    Kijana, usicheleweshe maendeleo yako kwa ajiri ya kuboresha maisha ya girlfriend

    Kwanilipo fikia sahivi hakika nimekuwa na akili kumkichwa hawa viumbe sio wenzetu kabisa wanachofata kwetu ni pesa ,raha na usalama Ni wachache wenye upendo wa dhati na kukupenda jinsi ulivyo
  2. black-tz

    TECNO Spark 40 ni mfano wa simu zinazofanya watumiaji wa TECNO wadharaulike!

    😂😂😂 Pale hakuna simu mkuu Na walivyo wajanja walitengeneza simu yenye kioo kikubwa ili kukamata watu.. 🤓🤏
  3. black-tz

    TECNO Spark 40 ni mfano wa simu zinazofanya watumiaji wa TECNO wadharaulike!

    😂😂😂 Pale hakuna simu mkuu Na walivyo wajanja walitengeneza simu yenye kioo kikubwa ili kukamata watu..🤏🤓
  4. black-tz

    TECNO Spark 40 ni mfano wa simu zinazofanya watumiaji wa TECNO wadharaulike!

    Ni kweli laiti wasingekuwa hawa jamaa sisi masikini smart tungekuwa tunaisikia tu😂😂
  5. black-tz

    TECNO Spark 40 ni mfano wa simu zinazofanya watumiaji wa TECNO wadharaulike!

    Kwa upande wangu mi huwa naangalia spec ya simu sio jina la kampuni iliyotengeneza simu kama nikiona inanifaa nachukua 🤔
  6. black-tz

    Fursa Kubwa kwetu Watanzania: Kampuni ya Apple Watatupa Zawadi ya Bilioni 2.5 Tsh kwa kama tukiweza Kudukua seva mpya za Apple (PCC)

    Ni kweli mkuu...ila kule black kuna wataalamu na wanavipaji wanajua kila kitu na jinsi ya kucheza na mifumo.... Usikuta kuna wahuni wanahadi sever za Facebook pamoja na database yao...😂😂
  7. black-tz

    Nimechagua Infinix hot 60 pro badala ya Samsung A16 zote bei zilikua sawa 400k

    Ni bora nibaki na hizi simu zetu za uniform..😂😂😂😂😂
Back
Top Bottom