Kwanilipo fikia sahivi hakika nimekuwa na akili kumkichwa hawa viumbe sio wenzetu kabisa wanachofata kwetu ni pesa ,raha na usalama
Ni wachache wenye upendo wa dhati na kukupenda jinsi ulivyo
Ni kweli mkuu...ila kule black kuna wataalamu na wanavipaji wanajua kila kitu na jinsi ya kucheza na mifumo....
Usikuta kuna wahuni wanahadi sever za Facebook pamoja na database yao...😂😂
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.