Recent content by black-tz

  1. black-tz

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Unataka kuwa fundi wa simu au kuanza biashara ya ukarabati wa simu?

    mimi nimeipenda hii kozi
  2. black-tz

    JamiiForums Tanzania Yawezekana Haya Ndiyo Makundi Katika Utumishi wa Umma yaliyo Nyuma kwa Kila Kitu

    Sio wote walimu wa mjini wanajua kila kitu
  3. black-tz

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Iphone 17 pro max vs Samsung S25 ultra. Ipi ninunue?

    Chukua Samsung mkuu
  4. black-tz

    JamiiForums Tanzania Tesla wasitisha Autopilot ya bure kwenye magari yao mapya! Ukihitaji utaipata kwenye FSD kwa $99/month!

    Huyu jamaa asipokaa vizuri mchina anamtoa kwenye reli
  5. black-tz

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kijana, usicheleweshe maendeleo yako kwa ajiri ya kuboresha maisha ya girlfriend

    Kwanilipo fikia sahivi hakika nimekuwa na akili kumkichwa hawa viumbe sio wenzetu kabisa wanachofata kwetu ni pesa ,raha na usalama Ni wachache wenye upendo wa dhati na kukupenda jinsi ulivyo
  6. black-tz

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania TECNO Spark 40 ni mfano wa simu zinazofanya watumiaji wa TECNO wadharaulike!

    😂😂😂 Pale hakuna simu mkuu Na walivyo wajanja walitengeneza simu yenye kioo kikubwa ili kukamata watu.. 🤓🤏
  7. black-tz

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania TECNO Spark 40 ni mfano wa simu zinazofanya watumiaji wa TECNO wadharaulike!

    😂😂😂 Pale hakuna simu mkuu Na walivyo wajanja walitengeneza simu yenye kioo kikubwa ili kukamata watu..🤏🤓
  8. black-tz

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania TECNO Spark 40 ni mfano wa simu zinazofanya watumiaji wa TECNO wadharaulike!

    Ni kweli laiti wasingekuwa hawa jamaa sisi masikini smart tungekuwa tunaisikia tu😂😂
  9. black-tz

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Feature 5 za app yako ya message hukuwahi kujua

    🙏🙏
  10. black-tz

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania TECNO Spark 40 ni mfano wa simu zinazofanya watumiaji wa TECNO wadharaulike!

    Kwa upande wangu mi huwa naangalia spec ya simu sio jina la kampuni iliyotengeneza simu kama nikiona inanifaa nachukua 🤔
  11. black-tz

    JamiiForums Tanzania Nataka kuhama Dsm, nishauri niende Mkoa gani?

    Njoo MWANZA
  12. black-tz

    JamiiForums Tanzania Nataka kuhama Dsm, nishauri niende Mkoa gani?

    Njoo MWANZA
  13. black-tz

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Fursa Kubwa kwetu Watanzania: Kampuni ya Apple Watatupa Zawadi ya Bilioni 2.5 Tsh kwa kama tukiweza Kudukua seva mpya za Apple (PCC)

    Ni kweli mkuu...ila kule black kuna wataalamu na wanavipaji wanajua kila kitu na jinsi ya kucheza na mifumo.... Usikuta kuna wahuni wanahadi sever za Facebook pamoja na database yao...😂😂
  14. black-tz

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nimechagua Infinix hot 60 pro badala ya Samsung A16 zote bei zilikua sawa 400k

    Ni kweli mkuu
  15. black-tz

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nimechagua Infinix hot 60 pro badala ya Samsung A16 zote bei zilikua sawa 400k

    Ni bora nibaki na hizi simu zetu za uniform..😂😂😂😂😂
Back
Top Bottom