Jina langu nadhani linafahamika BLACK JACKAL ni A.K.A ya mwamba mmoja hivi alishafanya matukio mengi sana na alipotafutwa alitumiwa wauwaji mahiri na walenga shabaha mashuhuri lakini hawakufua dafuuu 😂
Habari zenu wakuu , mimi ni kijana wa miaka 19 ambae nimekutana na matatizo katika maisha yangu ya mapenzi hadi sasa nimeshaacha wanawake 11 na kuachwa mara 2 je nitakuwa na shidabgani maana kama mapenzi nayajua haswa ila chaajabu niambulia kuachwa tu kila siku
Karibuni wakuu
Wakuu kama utasikia mtu yeyote anauza simu aina ya samsung au iphone nzuri isiyozidi laki 3 ambayo ni nzuri isiyo na tatizo lolote iwe na rangi nyeusi
we muache auzeee me sina elaaa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.