Recent content by Black agenst

  1. Black agenst

    Jerry Muro: Urais wa Kizalendo ni mgumu Tanzania

    Akiwaambia ukweli anajipendekeza bora yeyekuliku kufuata akili za ufipa
  2. Black agenst

    Mlinzi wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

    Je wafikiri hapo pembeni mpaka unachomoa utakua na raia mwenzako????usiyoyajua utaona rahisi kutendaa
  3. Black agenst

    Ndani ya miaka miwili Magufuli kavaa sare za jeshi mara nyingi kuzidi Marais waliomtangulia

    Sas tukuulize hvi cheo cha magu jeshini unakifahamu yaweza kuwa umeleta uzi hapa na wew uonekane unaweza posti ,,,yani unajadili ni vipi amri jeshi mkuu wa nnchi kuvaa sare ya jeshi mara nyingi wew nenda kapimwe utakua mgonjwa
  4. Black agenst

    Vincent Mashinji: Kuweni waangalifu kwani kuunda jeshi si kazi kubwa sana kama mnavyodhani

    Huo ni unyumbu ulioenda shule ,,,hvi mnafikiri kuanzisha jeshi lako katika inchi yoyote ni rahisi .???acha nicheke mawazo ya ufipa hata mtoto aliyezaliwa leo anaunafuu mkikosa huja msilete upupu kama huu anzisha lako mashiji alafu litambulike ndio utaona rangi hata ya kuzimu ambayo haujawahi...
  5. Black agenst

    Waliotangaza kuhamia CCM arusha walikuwa wamepangwa

    Hahahaha tulijua hamchelewi kuja na uzi wa kulia lia [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji28] da na nyie wapangeni wenu acheni kulia lia ,,huu sio muda wa kulia lia wew pambana na hali yako
  6. Black agenst

    Yanayoendelea nchini: Nape atupa madongo

    Leo mpo pamoja na nape????kweli walioita manyumbu hawakukosea ,,,,nape huyu huyu wa goli la mkono ,huyu huyu ugali umemwagika anajitia mipisho ,,,,,,watakaomuona anamaa ni manyumbu yasiyojua yametoka wapi na yanaenda wap kazi kwenu ufipaa
  7. Black agenst

    Dr Magufuli escapes key international events

    Kama kuna wawakilishi wazur haina haja ya yeye kwendwa hizi siasa maji taka pelekeni kule
  8. Black agenst

    Nimekerwa na uamuzi wa Acacia kupuuza ushauri wa Tundu Lissu na CHADEMA

    Ngoja nikuambie mkuu huo hautokua ,,uzalendo kaka,,,,Tz kuna wazalendo wengi ila siasa zinatuvuruga sana tukatae tukubali ,,watu wanaongozwa na mihemko ya siasa kuliko kutizama taifa tutalipeleka wapi
  9. Black agenst

    ARUSHA: Rais Magufuli awatunuku Kamisheni maafisa wapya 422, atangaza nafasi 3000 za wanajeshi wapya

    Si kazi yako ,,harusi si yako wavalia shela si unyumbu huuu
  10. Black agenst

    Nimekerwa na uamuzi wa Acacia kupuuza ushauri wa Tundu Lissu na CHADEMA

    Kama ni kweli bado haujachukia ,,,tz ikishinda utachukia mpaka hyo mimba ya chuki uliyokuwa nayo utazaa ghafulaa
  11. Black agenst

    Hivi mtu kama hasafiri hata zile safari za lazima,marupurupu yake ya safari anayafidia vipi?

    Ndio maana hawawezi kuja tawala mpaka akili ziwapandee kwanzaa
  12. Black agenst

    Hivi mtu kama hasafiri hata zile safari za lazima,marupurupu yake ya safari anayafidia vipi?

    Bavicha akili zao ni kituko mtupu hata kitu kisicho na maana anataka kujadiliii
  13. Black agenst

    Zitto Kabwe: Who wanted to kill Tundu Lissu

    Kiazi ni kiazi haya huo ukuta ni wa kuwafungia ????
  14. Black agenst

    Paul Makonda amehamisha show room zote za Magari, Kuanzia January 2018

    Shida si buku saba shida ni chuki mliyoivaa ,na miwani ya wivu mnajifanya ni vipofu hamuoni kitu kizur kinachofanyika
  15. Black agenst

    Paul Makonda amehamisha show room zote za Magari, Kuanzia January 2018

    Huyo mwananchi wa kawaida apambane na maisha awe kama wananchi wengne wasioitwa wa kawaida,,,,,hoja ya kijinga mnaleta ndio maana hatuendelei ,kila kitu mwanchi wa kawaida kwani wengne maroboti hapa kazi tu
Back
Top Bottom