msafiri2017
Senior Member
- Dec 6, 2016
- 128
- 103
Walikuwepo juzi katika shule fulani karibu na halmashauri ya Arumeru wakipewa mafunzo jinsi ya kuongea mbele ya halaiki
Haya, sawa.Polee mlitegemea afee Mungu amewaumbua mchana kweupe.
Kwelii lisu kiboko anawatesa adi akiwa ICU
Acha ukabila wewe...Si mlisema wameandika barua ya kurudi CHAGADEMA sasa nafikiri wamewathibitishia kuwa wamemkimbia Makengeza na Mamvi sasa mnawashwa washwa nini?
Si mlisema wameandika barua ya kurudi CHAGADEMA sasa nafikiri wamewathibitishia kuwa wamemkimbia Makengeza na Mamvi sasa mnawashwa washwa nini?
Hivyo eee??Walikuwepo juzi katika shule fulani karibu na halmashauri ya Arumeru wakipewa mafunzo jinsi ya kuongea mbele ya halaiki
Siri ya mtungi haba, kuna uzi humu niliuoma mchana wafanyakazi walitishwa na kazi zao usipoenda umejifukuzisha kazi, pekenyua kuna uzi humu, watumishi wote wa serikali ilikuwa ni lazma waendeIla kwa ule umati wa watu nilioshuhudia arusha, Chadema mna kazi ya ziada
Hahahaha tulijua hamchelewi kuja na uzi wa kulia lia da na nyie wapangeni wenu acheni kulia lia ,,huu sio muda wa kulia lia wew pambana na hali yakoLeo mchana nimeshuhudia rais akiwakaribisha walioamia CCM.
Ingawa nasikitika shughuli za kiserekali zikichanganywa na za kivyama huku wengine wakifungiwa kufanya shughuli kama hizo....This is unfair...
Chakusikitika zaidi mi wale waliotangaza kuhamia CCM...
Binafsi nlikuwa nawasikiliza kwa makini..ndipo nlipogundua hawa jamaa walikuwa wamepangwa.
Kilichonifanya niamini hivyo ni baada ya kuona baadhi yao wakibabaika kutaja chama walipotoka
Mmoja alisema "Mimi nlikuwa (akataja cheo) wa chama cha CC...WA chama cha chadema".
Mwingine ndo alishindwa kabisa kugundua kama kakosea akazidi kuendelea hivyo hiyo kwamba " Mimi nlikuwa (akataja cheo) wa CCM, na Leo nimeamua kuhama na kuhamia CCM"
Kwa mwenyewe akili anagundua tu kuwa ni wafuasi wa CCM ndo maana limewakaa kinywani....
Niwashauri tu kuwa hivyo ni sawa na kujiibia mwenyewe kama c kujidanganya...
Si mlisema wameandika barua ya kurudi CHAGADEMA sasa nafikiri wamewathibitishia kuwa wamemkimbia Makengeza na Mamvi sasa mnawashwa washwa nini?
Wamuunge wakiwa kule mbona makengeza atawatwanga barua ya kujielezaUwezo wao wa kufikiri ni mdogo. Eti tumehamia ccm kumuunga raisi mkono. Ukiwa upinzani huwezi kumuunga raisi mkono?
Ukilema ni funzo kwake!Polee mlitegemea afee Mungu amewaumbua mchana kweupe.
Kwelii lisu kiboko anawatesa adi akiwa ICU
Wamuunge wakiwa kule mbona makengeza atawatwanga barua ya kujieleza