Mkuu yaaan unafananisha wasafi iliyoanzishwa mwaka jna katikati n inapatikana dar tu vs station iliyoanzishwa miaka kadhaaa iliyopita n imeweka misingi ya kutosha n inapatikana sehemu nying hapa tanzania...ebu kuwa serious au ni chuki binafsi??hao wasafi wapeni muda wa miaka kadhaa ndipo tuje...
Kumekuwa na wimbi wa vikampuni vinavyojihusisha n kilimo vikidai wanakulimia/kufuga huku ww ukitoa gharama zote za shughuli alafu kwenye mavumo mnakatana kwa percent mara nyiingi hufanya 25% kwao alafu 75% za kwako baada ya kutoa mtaji uliowekeza..hili ni wazo nzur sna ila huwa havifanyi hivyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.