Usafiri wa usiku

Usafiri wa usiku

Miaka ya nyuma kidogo nilianza safari saa sita usiku na Cresta Gx 100 nikitoka Dar kuelekea Arusha...nilipokaribia Wami nikakuta Fuso zinasubiriana kwa ajili ya usalama, nikawona waoga tu hivyo nikaendelea na safari.
Kufika Wami katikati ile kucheck njia yote imefungwa na yale matenga ya nyanya ya mabanzi! Wakati nafikiria cha kufanya ghafla nikaona watu kama ishirini wanakuja na mapanga huku wamebeba tochi na silala mbali mbali wakisema "simama wewee" dah! Ilikuwa noma sana.
Mkuu malizia mkuu
 
Mbona unazingua mkuu,mbona hujamalizia ilikuaje
Miaka ya nyuma kidogo nilianza safari saa sita usiku na Cresta Gx 100 nikitoka Dar kuelekea Arusha...nilipokaribia Wami nikakuta Fuso zinasubiriana kwa ajili ya usalama, nikawona waoga tu hivyo nikaendelea na safari.
Kufika Wami katikati ile kucheck njia yote imefungwa na yale matenga ya nyanya ya mabanzi! Wakati nafikiria cha kufanya ghafla nikaona watu kama ishirini wanakuja na mapanga huku wamebeba tochi na silala mbali mbali wakisema "simama wewee" dah! Ilikuwa noma sana.
 
Embu madereva tusikitike kidogo..!!;chichichichi......safari za usiku mwendo ni ule ule Wa ngiri break mti..over.
 
  • Thanks
Reactions: R.K
Itakua alisimamishwa na akapewa option 2 tu KUFA au KUBAKWA.....na mpaka anaandika huu uzi sasa hivi nadhani tunajua kilichomtokea..Wewe Ni Shujaaa..
Mbona unazingua mkuu,mbona hujamalizia ilikuaje
 
Miaka ya nyuma kidogo nilianza safari saa sita usiku na Cresta Gx 100 nikitoka Dar kuelekea Arusha...nilipokaribia Wami nikakuta Fuso zinasubiriana kwa ajili ya usalama, nikawona waoga tu hivyo nikaendelea na safari.
Kufika Wami katikati ile kucheck njia yote imefungwa na yale matenga ya nyanya ya mabanzi! Wakati nafikiria cha kufanya ghafla nikaona watu kama ishirini wanakuja na mapanga huku wamebeba tochi na silala mbali mbali wakisema "simama wewee" dah! Ilikuwa noma sana.
Ukatumbukiza gari mton
 
Napenda kushare nanyi jambo moja ambalo ninauzoefu nalo sana, ndugu zangu wenye magari madogo hasa private kwa sasa epukeni safari za usiku kutokana na mabasi kuruhusiwa kutembea masaa 24.

Kutakusaidia kuepukana na ajali zisizo za lazima. Iwapo ukikutana na basi akikuletea upande wako kidogo tu ni rahisi kujiingiza uso kwa uso au kwenda nje mazima, sababu ni vigumu kuchagua pa kupita kwa ghafla maana macho yako yanaishia mwisho wa taa zako tu.

Ninauzoefu wa barabarani kwa magari yote (mabasi, malori, gari dogo) zote hizi nimeendesha kwa miaka mingi ndani na nje ya nchi. Hivyo nimeona nitoe ushauri kidogo kwa wenzangu tunaopenda safari za usiku.
Asante kwa ushauri mkuu.
Tumekuelewa.
 
Miaka ya nyuma kidogo nilianza safari saa sita usiku na Cresta Gx 100 nikitoka Dar kuelekea Arusha...nilipokaribia Wami nikakuta Fuso zinasubiriana kwa ajili ya usalama, nikawona waoga tu hivyo nikaendelea na safari.
Kufika Wami katikati ile kucheck njia yote imefungwa na yale matenga ya nyanya ya mabanzi! Wakati nafikiria cha kufanya ghafla nikaona watu kama ishirini wanakuja na mapanga huku wamebeba tochi na silala mbali mbali wakisema "simama wewee" dah! Ilikuwa noma sana.
HALAFUUUUU!!!!!! Ikawaje?? Ulikuwa wakati mkubwa mmoja akiwa madarakani na mdogo mtu akitafuta kwa bidii usiku. Mbona siku hizi njia saafi tu. Acha woga komaa tu. Hata mnifanyeje, mchana sisafiri. Hizo KM 50 utafika lini Geita from AR??
 
Safari za usiku ni nzuri sana hakuna vizuizi vingi japo kwa gari zenye saloon body uwezo wa kuona mbali unapungua japo sio mbaya sana kwasababu aina nyingi za gari hizo zinachanganya mapema na zinauwezo wa kusimama kwa haraka.
 
Mkuu malizia mkuu
...kutupia jicho upande wa pili nikaona gari ndogo imeanguka (nadhani walijaribu kugeuza kwa ghafla ili kuepuka balaa la jamaa) na walionusurika wakichezea mateso huku wametapakaa damu! Hawa walinipa ujasiri na kujiona nipo karibu na kifo hivyo bora nife kiume kuliko kunyanyua mikono juu inaweza isisaidie vile vile...nilifanya kama napunguza mwendo kuwapumbaza wale wanaokuja na silaha na kisha nikaikanyagia gari na kuyapiga kwa pembeni yale matenga nikayumba na kurudi barabarani na kuondoka kwa mwendo wa roho mkononi.
Muda huo tayari gari ilikuwa inayumba upande mmoja na kutoa milio ya kugonga gonga chini huku bumper likiwa limeachia upande mmoja na niliendelea kutembea kukata vijiji kadhaa mpaka kwenye saa nane hivi za usiku gari ikaanza kuwaka taa ya battery na bado sikusimama maana ilikuwa porini, niliendelea na safari mara ghafla gari ikazima taa zote katikati ya msitu! Nikasema hili ni jaribu jingine.
 
Back
Top Bottom