Mahawala hawaachani. Nyinyi mlipumzishana kwa muda tu, ikitokea mmeonana hilo penzi la zamani kuna mmoja wenu lazima ataliamsha. Kinachofuata sasa ni ndoa zenu wote wawili mnaziweka rehani.
MWANAUME USIOE SINGLE MAZA labda uone kaburi au cheti cha kifo cha mzazi mwenza, tofauti na hapo jiandae...
Zama hizi joto limeongezeka sana utafikiri majua yamekuwa mawili, moja la kukupiga utosi uchakae na jingine la kukuivisha ili mradi usiishi kwa amani. pole sana, next time upake sun screen sijui cream kabla hujaenda kujitosa juani.
Mwafrika kaletewa dini halafu kabadilika kawa mjuaji kuliko wenye dini yao ilipoanzia.
Tungetawaliwa na mchina sasaivi sijui tungekuwa na dini gani?! Tungekuwa tunaitetea hiyo dini mpaka mishipa ya shingo inatutoka.
Waafrika na uroho wa madaraka, kila mmoja ataona hajatendewa haki kukikosa hiko kiti cha Uraisi. Wengine watagoma hata kutoa ada ya hiyo federation. Nafikiri waanze kutumia sarafu moja ndio waje na uraisi sasa.
Hayati alisema mshahara wake alikuwa akilipwa milioni 9. Wakati huo huo katika moja ya hotuba zake akasema anamlipa mkurugenzi wa TRA milioni 15. Hapo ndio alinichanganya sana kwa sababu niliona kama hesabu imegoma kuhesabu.
Yaani kijakazi analipwa pesa ndefu kuliko bosi.
Ni kitu cha kawaida mbona, ukizeeka mara nyinyi afya nayo lazima itetereke kwa asimilia kubwa. Nafikiri unachoshangaa hapa ni kwamba jamaa na ubabe wote huamini kama kazeeka. Kimsingi hamna cha ajabu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.