Recent content by Bizooo

  1. B

    Tofauti kati ya mwanamke na mwanaume kwenye maisha

    Kutaka simu za bei ghali na hawana kazi
  2. B

    Haya ni mambo yaliyonisisimua huko Nanjilinji

    Kumbe magu akisema turudi bush ni kwelii kuna utajirii sasa ni zamu ya kubadilishana wa bush waje waone lami.
  3. B

    Kisa cha Muethiopia Tadasse Metaferia hospitalini Amana kiliniacha na tafakuri nyingi

    Inamana tunaelekea kwenye ukuaji viwango vya wa ethiopia .
  4. B

    Sababu kwanini siwezi kuoa mwanamke ambae hana degree

    Degree wa kipindi cha jk sio hawaaa
  5. B

    Mnyama na wenzake wakiwa tayari kuelekea Kiev

    CR7 kwa bwebwe kasimama katikati ajiamini
  6. B

    Nashukuru Mungu sikusoma na kuwa mwalimu

    Walimu tuna hali ngumu walimuuu chorus x2
  7. B

    Ukuta wa Rais Magufuli wapaisha bei ya tanzanite

    Bei iko pale pale ila yameadimika sababu kampuni mama imefigwa.
  8. B

    Binti nimpendae anataka hela tu

    Mfanye apendeze zaidi azidi kuwavutia wenye pesa za uhakika zisizo na mawazo
  9. B

    Huu utaratibu mpya wa TANESCO wakulipa deni ni kiashiria tosha kuwa hawataki sisi wenye hali ya chini tutumie umeme

    Vishoka wanakufungia mita ya luku mbovu ukienda kulipia unaikuta haija sajiliwa kutana na huo mziki deni kubwa kuliko bei ya nyumba
  10. B

    Zanzibar: Ole wao watakaouza vyakula mchana

    Ka kisiwa cha waarabu weusi
  11. B

    Maaskofu wa KKKT kumwangukia Rais Magufuli

    Makanisa ya kilokole wamekaa mkao wa kuvuna waumini
Back
Top Bottom