Mnyama na wenzake wakiwa tayari kuelekea Kiev

kuna watu hata kuwa quote hupaswi, asa hii mada na shule wap na wapi? Au suti na shule wap na wap? Mpira na shule wap na wap? Unakuta hata hujatuzd elimu kisa umefkisha CW ya kiswahili unakuja kubwabwaja humu
Shule muhimu mjomba, hata kama unacheza rede, achilia mbali soccer. Na suti ndio kichaka pekee kilichobaki cha kujifichia.
 
Unaongea non sense sana kijana, soccer na shule wapi na wapi? Na aliye kwambia suti ni kwaajili ya wasomi nani? Na wewe unaye jifanya msomi ni kipi ambacho una taraji baada ya kusoma zaidi ya kuajiliwa?
Sikiliza wewe, kusoma hakumfanyi mtu kujitambua hata siku 1, labda kama huko kwenye mavyuo apart from kufundisha kozi iliyo kupeleka labda wanafundisha life skills, saikolojia,
Kwanza kaa ukijua kuwa kipawa ni tofauti na shule ambapo mwenye kipawa na asiye na kipawa wote wana uwezo wa kusoma na kufaulu ilimradi iwepo juhudi na vipawa ni watu wachache wanavyo na si kila anaye soma ana kipawa kaa ulijue hilo na kwa wanamichezo ambao hawakupitia shule wapo wengi tu wame invest na wanazidi kukua kila kukicha na mfano mzuri Beckham, staki kuongea saana ka google umjue vizuri, na Cristiano kabla hata aja staafu amejenga 3 heavy weight hotels from diff. Big cities, New York, Lisbon & Madrid Spain, kwenda kulala kwa usiku mmoja unafilisika,
Na huko kwenye mavyuo yenu ukitembelea unakuta wanafunzi wamevaa vinguo vya ajabu utazani malaya, na wanaume kuvaa milegezo, alf unapokuja kuniambia walioenda shule wanajielewa hainiingii akilini hata kidogo.
Kujielewa ni akili na tabia ya mtu aliyo zaliwa nayo haimaanishi mtu kama haendi shule ajielewi, usiludie kuandika pointlessness umu ndani tena kijana,
Sasa maelezo meeeengi halafu point sifuri, hili ndio tatizo la kukosa shule. Hata kama unacheza rede shule ni muhimu, kamuulize mike tyson, kwani unafikiri Tyson hakuwa na mahotel na majumba?
 
Back
Top Bottom