Recent content by Biz2geza

  1. Biz2geza

    mafuriko na posho

    hiyo ni kawaida kabisa ndugu katika mazingiza haya ya kuganga njaa na inaelekea kuhalalishwa kuwa utaratibu fuatilia kuhusu mabomu ya mbagala na gongolamboto kuna watumishi walijikusanyia posho zaidi ya mil 17 na vitu mbali mbali ikiwa ni ujira wa wao kufanyakazi katika kuhudumia wahanga cha...
  2. Biz2geza

    Lubuva Mwenyekiti mpya Tume ya Uchaguzi!

    kuuliza si ujinga ni kutaka kufahamu 1.hivi post ya chairman wa nec lazima mtu awe mstaafu? 2. Hivi atuna young blood ambao wanaweza kufanya hiyo kazi? Katika pekuapekua zangu inaonyea hii tabia ya wastaafu kuongezewa mikataba au kupewa ajira mpya ipo kwa kiasi kikubwa hapa kwetu ambayo...
  3. Biz2geza

    Jipe moyo Kafulila; Hongera NCCR-Mageuzi, Godbless Lema

    Hapo kwenye Red ni Swali la msingi hilo.......Kwanza kabisa Kafulila alikuwa anachukulia poa kuwa hawataweza kumvua uanachama coz ya ubunge sasa lilipomfika ndo akaona kuwa ubunge ni kama ua lililoota kwenye chupa.Uhai wake unategemea uwepo wa chupa sasa alipovuliwa uanacha ndo akashtuka kumbe...
  4. Biz2geza

    Jipe moyo Kafulila; Hongera NCCR-Mageuzi, Godbless Lema

    Binadamu wanapenda kusikia au kuambiwa mazuri tu na pindi anapoambiwa ukweli anamchukia mtoa ukweli.Magamba.com ni matokeo wa huu mfumo wa kutotaka kusema ukweli.............. ukomavu katika jambo lolote ni kusimamia ukweli daima, kama ulisema hili ni jembe na ukapewa adhabu kwa kusema hivyo...
  5. Biz2geza

    Vision na Mission za Tanzania ni zipi?

    Nashukuru sana Mkuu KombaJr. Nilikuwa najaribu pia kucheki za wenzetu nimebahatika kupata za majirani zetu Kenya;ebu tuziangalia yawezeka ni nzuri lakini Je Tunazitekeleza au mipango yetu inareflect kwenye DIRA na Dhima zetu? Our Vision Statement: "A competent public service, for a...
  6. Biz2geza

    Vision na Mission za Tanzania ni zipi?

    prez 2b el nashuku kwa majibu yako japo hayajakidhi haja coz sitakikuhamini kama hatuna vision na mission na kama ni swala la kuunganisha hizo za wizara zote basi yaweza kuwa ndo sababu tuko hapa.sitashanga mkuu akiulizwa akasema hajui.
  7. Biz2geza

    Vision na Mission za Tanzania ni zipi?

    wadau naomba mwenye vision na mission ya tanzania atuwekee hapa jamvini tuone kama kweli zinatupeleka tunakotakiwa kwenda.
  8. Biz2geza

    MAFURIKO: Hali ya usafiri Dar yawa tete, makazi yasombwa!

    verse ya pili kutoka mwisho......serikali imeunda tume ya wataalam kuchunguza chanzo cha maafa haya,na kutushauri nini cha kufanya ili matatizo yasiweze kuleta madhara tena.katika kipindi hiki wananchi tuwe wavumilivu wakati tume ikifanyakazi....ripoti ya tume itasaidia kujenga hotuba ya rais ya...
  9. Biz2geza

    MAFURIKO: Hali ya usafiri Dar yawa tete, makazi yasombwa!

    pole sana mkuu,kwahiyo issue ni rubani wamegoma kurusha ndege,uwanja umefungwa kutokana na maji kujaa au marubani wameshindwa kufika airport kutokana na tatizo la usafiri kutoka makwao?hii ndiyo tanzania special. Kipindi cha nyuma maji yalikuwa yanajaa na kufunika barabara kuanzia superdol mpaka...
  10. Biz2geza

    Manji kafanya aliyofanyiwa Muro, nani anamlinda?

    why mabatini post?sheria inasemaje kuhusu ufunguaji wa kesi kama hizi?
  11. Biz2geza

    Rais Kikwete ateua mabalozi wapya. Marmo, Batilda na wengine ndani!

    mkuu wameteuliwa tarehe 16 dec,2011 na watanzaa kazi 12 oct 2011?
  12. Biz2geza

    Tanzania hatuna sera mama

    Kwa lugha nyepesi Hatuna "National Ideology" yaani ukiwachukua hata mawaziri watano kutoka wizara tofauti ukawauliza hivi tanzania tunaelekea wapi tegemea kupata majibu tofauti kabisa.nini wananchi wa kawaida huko tegemea kusikia mi CCM or CDM or simba or Yanga. In 20 plus years back Malaysia...
  13. Biz2geza

    CHADEMA chazoa viti Mbeya vijijini, CCM hoi

    wapi shitambala?au anajipanga kupambana 2015?coz magamba walimchukua wakijua wataidhoofisha cdm mbeya.viva cdm
  14. Biz2geza

    Vita kati ya Seif na Hamad Rashid yaibukia Manzese

    Mwisho wa Ubaya Aibu, Malipo ni hapa hapa unafiki anaoufanya bungeni haya ndiyo majibu yake.Toka amekosa zile previllage za Ukuu wa kambi rasmi bungeni Hamad Rashid amekuwa akitapatapa kama kuku aliyekoswa kuchinjwa. Mytake: Watapimwa kwa matendo yao...Wacha vyuma viumane sisi yetu Macho...CDM...
  15. Biz2geza

    Sababu za JK kumnyima Samuel Sitta na kumpa Anne Makinda nishani hizi hapa!

    Vipi Kuhusu Mzee Malecela?inamaana vigezo alivyovitumia kikwete kuwapa mawaziri wakuu wastaafu yeye hana? Mytake: Kama Kikwete alijua kwakuwapa Tuzo hizi wachache kungejenga na kuletamshikamano La hasha inaweza kuwa vinginevyo:Maji na mafuta vimeshaanza kujitenga!
Back
Top Bottom