prez 2b el nashuku kwa majibu yako japo hayajakidhi haja coz sitakikuhamini kama hatuna vision na mission na kama ni swala la kuunganisha hizo za wizara zote basi yaweza kuwa ndo sababu tuko hapa.sitashanga mkuu akiulizwa akasema hajui.Tembelea web za kila wizara utaona mision na vision zake na kwa ujumla wake ndo vision ya nchi
Hadi sasa hivi hakuna vision wala mision Tanzania tangu lilipo ondolewa Azimio la Arusha na kuwekwa Azmio la Zanzibar la kufisdi nchi