Shine
JF-Expert Member
- Feb 5, 2011
- 11,481
- 1,364
Jiulize kwa nini CCM siku hizi haizungumzii ile dhana kuwa mtaji wake uko vijijini.
Wamekwisha watenda vijijini pia
Jiulize kwa nini CCM siku hizi haizungumzii ile dhana kuwa mtaji wake uko vijijini.
Naona sasa somo la uraia limeanza kueleweka vijijini,2015 ccm kazi wanayo.peeeeepoziIiiiii
Naona sasa somo la uraia limeanza kueleweka vijijini,2015 ccm kazi wanayo.peeeeepoziIiiiii
thanks mkuu, nafikili lazima tubadilike na tujenga utamaduni wa kulinda kura zetu katika level yoyote ya uchaguzi, tuweke mawakala wa ukweli, kura zisiibiwe kabisa apo tutakomboka na kuibiwa kura tunazokuwa tumepiga.. Tujifunze kwa hawa jamaa wa mbeyataarifa zinasema nguvu ya umma ilitumika kulinda kura.
Chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA kimepata ushindi mkubwa katika uchaguzi wa serikali za mitaa wa wenyeviti wa vijiji na vitongoji kata ya Nsalala Mbeya vijijini.Chadema imenyakua vijiji 4 huku CCM ikiambulia kijiji 1 tu.Katika uchaguzi wa vitongoji Chadema imeshinda vitongoji 9 huku CCM nayo ikishinda vitongoji 9.Uchaguzi huo umefanyika mwishoni mwa wiki. Source Nipashe Uk.13
Chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA kimepata ushindi mkubwa katika uchaguzi wa serikali za mitaa wa wenyeviti wa vijiji na vitongoji kata ya Nsalala Mbeya vijijini.Chadema imenyakua vijiji 4 huku CCM ikiambulia kijiji 1 tu.Katika uchaguzi wa vitongoji Chadema imeshinda vitongoji 9 huku CCM nayo ikishinda vitongoji 9.Uchaguzi huo umefanyika mwishoni mwa wiki. Source Nipashe Uk.13
U mgaya luhala veve.....!Uraia huo kueleweka ni kwa wananchi kukengeuka?
Kanda gani ya ziwa unaizungumzia wamekata mirija.yasije yakatokea ya Moshi na kanda ya ziwa. Ccm ni mashuhuri kwa kukata mirija ya maendeleo kule inaposhindwa. Lakini nashangaa ni tofauti kwa kigoma
Natoa pongezi kwa Wananchi wa Mbeya vijijini kwakujitambua.
cuf hawakushiriki?