status quo
Member
- May 6, 2011
- 87
- 38
ukienda marekani utasikia conservatives (right wing) na liberals(left wing), ukienda uingereza tories(right wing conservatives) na labour(left wing), ukienda kenya PNU(right wing) na ODM(left wing), nk.... lakini hapa kwetu kila siku ufisadi, posho, hatuna direction hatujui hata chama kilichoko madarakani kinatekeleza sera gani , mara utasikia ujamaa, wengine ubepari kipi ni kipi. na hili ndilo tatizo linaloisumbua nchi yetu leo hii kama chama kilichoko madarakani kingekuwa kinatekeleza sera ya ubepari basi hiyo nyongeza ya posho tusinge ipigia kelele, lakini kwa sababu tulivyo wachagua hawakutuambia juu ya sera yao ndio maaana kuna kelele kila pande ya nchi juu ya posho hizo. nchi inaendeshwa kwa ahadi tu, wapi na wapi. ndio maana na thubutu kusema tanzania tumepoteza mwelekeo.