So hiyo Siwa inaelezea Nini???? Maana ya zile alama kwenye nembo ya taifa tunazijua ....maana ya mizani kwenye nembo ya mahakama ni haki???? Je hiyo Siwa inaashiria Nini???? Yani ni alama ya Nini kwenye taifa hili...ni kielelezo Cha kitu gani????
Wakubwa naomba msaada wenu simu yangu inanitaka ku update na inaniletea hiyo notifications hapo chini[emoji116][emoji116]je nifanye Nini nifuate maelekezo au nikiyafata naharibu sim.
Naomba msaada wa maelekezo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.