Ni mbao nzuri sana zinafaa kwa frem na Ferniture...Nachana 2×10 kwa urefu wa futi 12.....lakini pia nachana kulingana na mteja anavyohitaji..
Nachana Mbao za mti wa MTONDOO na MKURUNGU
Habari ndugu zangu,
Natafuta Masoko ya Mkaa na Mbao...Na bei zikoje. Nachana mbao za mti wa Mtondoo na Mkurungu kwa saizi zote kulingana na mahitaji ya mteja.
Nina uwezo wa kusuply gunia 200 hadi 300 kwa mwezi za mkaa...Nina vibali vyote vya wakala wa misitu (TFS) Nasikia pia kuna soko la...
Wadau,Natumai mko salama...lakini pia niwashukuru kwa ushirikiano mzuri wa ushauri na elimu....
Mbali na hilo najua kuwa mwaka huu bei ya ufuta sio rafiki.....Je kuna mdau anayefahamu kampuni ama wanunuzi wa ufuta angalau wenye bei nzuri ukiacha hizi za mnada? Nina takribani gunia 70...
Ama je...
Jamani habari za humu ndani...
Naomba msaada wa kujua bei ya ufuta na makampuni makubwa yanayonunua ufuta kwa bei nzuri.
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamani habari za humu ndani...
Naomba msaada wa kujua bei ya ufuta ama makampuni makubwa yanayonunua ufuta kwa bei nzuri.
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari wakuu.Naomba msaada,Ushauri wa namna ya kupata Ufadhili wa masomo..Nimepata admission ya kujiunga na Chuo kikuu cha Dar es Salaam fani ya Master of Business Administration inayoanza mwezi huu Novembeter 2018..Hali ya uchumi kifedha imekuwa ngumu kumudu masomo hayo.Naomba msaada wa Ushauri...
Habari zenu ndugu zangu..Naomba ushauri,Mawazo,Msaada wa namna ya kupata ufadhili wa masomo...Nimepata admission ya kujiunga na Chuo kikuu cha Dar es Salaam kwa fani ya Master of Business Administration - MBA) inayoanza mwezi huu November.Hali ya fedha imekuwa ngumu kumudu masomo...Wakuu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.