Bro.. umesema umeshuhudia kwa rafikia yako... means na wewe ulikuwepo... sasa mbona hukutoa msaada!?? Au wewe ndo ulikuwa rafiki wa GF..
Sorry lakini..
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanza naomba mods msiuunganishe huu uzi na uzi mwingine wowote.
Maana kwa kufanya hivyo, ntashindwa kuzipata hizi nyimbo.
Kuna kwaya fulani inaitwa Nioth Prophetical Singers, hawa wana Albam inayojulikana kwa jina la "Unangoja nini", humo ndani kuna huu wimbo unaitwa "Mapambazuko" mwenye nao...
Kwa kuongezea... Hizi screen zinakusaidia wewe ku command kwa urahisi..
Yaani utasema hivi: kwenye kila rangi ya kijana nataka patokee picha ya beach, basi kila ukijana utakuwa replaced na beach..
Na ndo maana hutakiwa kuvaa nguo ambayo inafanana na screen yako, maana vinginevyo hadi wewe...
Habari wakuu..
Nahitaji flat screen ambayo haijatumika sana.
Budget yangu ni Tshs. 150,000/=
Kama utapendezwa na offer yangu, basi tuwasiliane inbox.
Ahsante.
Habari..
Nimekuwa mfuatiliaji mkubwa sana wa mambo ya forex trading, lakini kwa upande wangu nikaona ni ngumu kumeza.
Nikaamua kugeukia upande wa pili wa pili wa Binary Options trading, hii kidogo kwangu imekuwa nafuu.
Hivyo basi, naomba kama kuna mtu yuko vizuri kwenye hii trade aweke some...
Habari wana Jukwaa.
Nahitaji mtu anayeweza kutengeneza sabuni za kuogea za mche. Kama unaweza au una mfahamu mtu ajuaye tafadhali niunganishe naye.
Kuna rafiki yangu ana uhitaji sana, Pia waweza kuwasiliana naye kwa namba hizi: 0656142433
Ahsante.
Habari!
Nahitaji laptop yenye sifa hizi:
Ram >3gb
HDD >320gb
Processor i3
Inakaa na chaji..
Isiwe used kwa mda Mrefu..
Bajeti yangu ni 300k..
If interested, Karibu PM
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.