Natafuta mume mwenye umri wa miaka 30 hadi 37

Nimepitia, comment zote lakini sijaon hata mtu mmoja ambae ameonyesha nia ya au hitahji la huyo dada, kisa aamesema ana HIV. lakini kumbukeni hao mnaokutana nao kila siku hawajawaambia status yao. Ila mnakula mpaka chumvi.

Pia Njia za kupata ukimwi zipo nyingi mfano
  1. Kuwekewa damu yenye virusi,
  2. Kuzaliwa na mama mwenye virusi (PMTCT)
  3. Kushea vitu vitu vyenye ncha kali na mtu mwenye virusi
  4. Kwa njia Ngono ( Popular means of transmissions).
Hata hivyo mtu mwenye maambukizi ya HIV hazuiliwi kuoa au kuolewa, isipokuwa ni muhimu kuonana na mtaalam
kabla hajapata ujauzito ili amshauri.

Lakini mtu huyu anaweza kuolewa na kuzaa na atafuata masharti kuna uewzekano mkubwa mtoto aliyepo tumboni asipate maambukizi. Tafiti zimeonyesha wamama wanaotumia dawa za ART wakati wa ujauzito wana 95% ya kutoambukiza watoto wao.
Asante kwa kuwaelewesha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama ya huyu mleta thread alijiunga jana hapa JF. Nina uhakika sio mgeni hapa JF
Uliza tena swali lingine mkuu
Nakwende unaangaika na mambo yasiyokuhusu, nahisi utakuwa darasa la saba. maana ugeni au wenyeji hauna mahusiano na mada ya mtoa mada. Lakini umeshuparia sana. mnajua humu ndani unaweza kufahamika uwezo wako wa kuelewa jinsi unavyorespond mada. tuwe makini kwa hilo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom