- Thread starter
- #41
Asante kwa kuwaeleweshaNimepitia, comment zote lakini sijaon hata mtu mmoja ambae ameonyesha nia ya au hitahji la huyo dada, kisa aamesema ana HIV. lakini kumbukeni hao mnaokutana nao kila siku hawajawaambia status yao. Ila mnakula mpaka chumvi.
Pia Njia za kupata ukimwi zipo nyingi mfano
Hata hivyo mtu mwenye maambukizi ya HIV hazuiliwi kuoa au kuolewa, isipokuwa ni muhimu kuonana na mtaalam
- Kuwekewa damu yenye virusi,
- Kuzaliwa na mama mwenye virusi (PMTCT)
- Kushea vitu vitu vyenye ncha kali na mtu mwenye virusi
- Kwa njia Ngono ( Popular means of transmissions).
kabla hajapata ujauzito ili amshauri.
Lakini mtu huyu anaweza kuolewa na kuzaa na atafuata masharti kuna uewzekano mkubwa mtoto aliyepo tumboni asipate maambukizi. Tafiti zimeonyesha wamama wanaotumia dawa za ART wakati wa ujauzito wana 95% ya kutoambukiza watoto wao.
ID mpya ni kero. JamiiForums vipi hii haiwezekani mkaunga na iD yake ya zamani?!!!
Kama ya huyu mleta thread alijiunga jana hapa JF. Nina uhakika sio mgeni hapa JFWhat do you mean by ID mpya
Huu ni mtandao dear u can't limit to the person who wants different needs et kisa mgeni kila MTU anaingia kwa mahitaji yake tofautitofauti kwahiyo this was my aimID mpya ni kero. JamiiForums vipi hii haiwezekani mkaunga na iD yake ya zamani?!!!
Wewe sio mgeni ni mwenyeji, ila umefungua tu ID mpyaHuu ni mtandao dear u can't limit to the person who wants different needs et kisa mgeni kila MTU anaingia kwa mahitaji yake tofautitofauti kwahiyo this was my aim
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante kwa ur opinion but am not dearWewe sio mgeni ni mwenyeji, ila umefungua tu ID mpya
Sasa ugeni au uenyeji unaingiliana vp na mada yake au ndio kusema siku hizi wageni hawaruhusiwi JF. Mbona unafambo mkubwaWewe sio mgeni ni mwenyeji, ila umefungua tu ID mpya
Unamjua ?Kama ya huyu mleta thread alijiunga jana hapa JF. Nina uhakika sio mgeni hapa JF
Uliza tena swali lingine mkuu
Acha kudili na mambo yasiokuhusu we angalia mada weka comment zako, ukiendelea kujibizana na huyo member itabidi tuitishe cv zako. Maana tutakuwa mashaka pengine ndio wale wale wa Magufuli.
Roho ngumu inahusikaje hapo mkuu!?? Yeye kataka mwenye hali kama yake..Aisee ..ebana! Wenye roho ngumu mkuye
Nakwende unaangaika na mambo yasiyokuhusu, nahisi utakuwa darasa la saba. maana ugeni au wenyeji hauna mahusiano na mada ya mtoa mada. Lakini umeshuparia sana. mnajua humu ndani unaweza kufahamika uwezo wako wa kuelewa jinsi unavyorespond mada. tuwe makini kwa hilo.Kama ya huyu mleta thread alijiunga jana hapa JF. Nina uhakika sio mgeni hapa JF
Uliza tena swali lingine mkuu
Mungu atakusaidia utapata mtu unayemtfuta. Hawa wengine tayari wanao watu wa hari yako ila hawamjui.
AsanteNakwende unaangaika na mambo yasiyokuhusu, nahisi utakuwa darasa la saba. maana ugeni au wenyeji hauna mahusiano na mada ya mtoa mada. Lakini umeshuparia sana. mnajua humu ndani unaweza kufahamika uwezo wako wa kuelewa jinsi unavyorespond mada. tuwe makini kwa hilo.