Recent content by Binti Kagundo

  1. Binti Kagundo

    Kutokujiamini ni janga la wanaume Bongoland

    Ni kweli kabisa masai dada. Kutokujiamini kwenye mahusiano kwa wanaume wengi ni shida.
  2. Binti Kagundo

    Aisee...Kwangu! Mwanamke ni Sura Nzuri na Figure bomba Baasiiii...

    Mimi naomba kuwa na umbo la mnazi japo nakubaliana na wewe . Kweli tupu.
  3. Binti Kagundo

    Tukumbushane watu wa Tabora-Mboka Manyema

    Namkumbuka Subi Subi Rosh nimemuona last time nilipokwenda. Duh umenikumbusha mbali. Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
  4. Binti Kagundo

    Tupia majina ya utani ya mademu vicheche mtaani kwenu.

    TIGO RUSHA! Linanifaa au unasemaje? Kama hujalipenda chagua jingine ruksa. Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
  5. Binti Kagundo

    Tupia majina ya utani ya mademu vicheche mtaani kwenu.

    Kina mama oyeeeee, tuko juu! Duh haya yote majina yetu??? Haya endeleeni..........lete vitu. Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
  6. Binti Kagundo

    Men are so complicated, so confusing...

    Crystal clear truth! Boflo. Natamani niiforward dunia nzima maana its an internatonal issue. Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
  7. Binti Kagundo

    Hili neno, “Mwanaume ni kichwa cha nyumba” huwapa kibri sana hawa viumbe

    Vukani I second you! hii ni kweli kabisa misemo kama hii ni vuruga nyumba tu. Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
  8. Binti Kagundo

    pita hapa

    Magogoni iwe kati list ya chaguo lako Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
  9. Binti Kagundo

    UTAFITI: Asilimia 26.5 wanawake hufanya mapenzi kinyume na maumbile

    Yaani mimi hichi kitu kinanisumbua kisaikolijia ninapojaribu kufikiria. Kwanini mtu unaamua kufanya hivi pesa? Tamaa?kuridhisha mwenzio au? Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
  10. Binti Kagundo

    Namtafuta mtu anayetembea na mke wangu

    Pole mwaya, na mimi namtafuta anaenichukulia mume! picha yake ndio naichora nitatuma. Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
Back
Top Bottom