Watu wanashangaa uhusiano wa majini na bin-adam. Mie binafsi nimezaa watoto wawili na mwanamke wa kijini.
Ilianza kama ndoto ila mwisho wa siku akawa anakuja live kabisa. Kiufupi kwa sasa ni miaka imepita nimetenganishwa nae.
Na kama kuna mwenye elimu ya kukosoa au kuthibitisha ninalosema basi...
Kuna jamaa zangu wanne walinunua tractor Massey Ferguson kwa jamaa kupitia mnada wa online akiwa London.
Ila tractor zilifika ni mbovu kuliko maelezo. Ni mmoja tu ndie aliebahatisha ila wengine wote waliingia hasara.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.